Ali Nassor Px
JF-Expert Member
- May 6, 2022
- 2,384
- 3,926
Shukrani kwa taarifa mkuuLeo saa 10:00 Jioni kwa saa za Afrika ya Mashariki Yanga Sc watashuka dimbani kumenyana na Club Africaine ya Tunisia...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukrani kwa taarifa mkuuLeo saa 10:00 Jioni kwa saa za Afrika ya Mashariki Yanga Sc watashuka dimbani kumenyana na Club Africaine ya Tunisia...
Labda wamuingize sub kulingana na game itakavyo kuwa anaweza kuwa na msaada somehowHayupo sawa nadhani ndio maana aliachwa huko Berkane sioni akicheza mpira huo unaotazamiwa kutoka kwake ni bora hata hao local wakina Ambundo na Nkane yaani huyo anabadilishwa na Kambole Mzambia nadhani tuna tatizo sehemu ila sio wa kumtoa Kambole awekwe Kisinda..
hata me sina cha kuwadai . wanatakiwa wajipange sana kwenye league za kimataifaSina cha kuwadai YANGA SC michuano ya kimataifa ni mzigo mzito kwao.
Mbio nyingi work done=0Oya Yanga ikifungwa sote tuhisi raha, bleach nyingi kuliko kiwango muite tuisila...
Yeye anakimbia peke yake wale wanataka wapitwe kwa pasi za kupenyeza mambo ya Krosi Yanga hawawezi kucheza hata mipira ya kona hatupo sawa tunaweza kupata Kona nyingi na zisifanye kazi zaidi zaidi tunapigwa Counter na kuwa madhara kwetu..sema akicheza Sure boy na vijana wengine wa kazi itakua sio mbaya ila kumtegemea Mayele peke yake sioni kama ni sahihi kocha inatakiwa aje na mbinu mbadala maana waarabu wamekuja kucheza dakika chache Taifa kupoteza muda na kuzuia..Labda wamuingize sub kulingana na game itakavyo kuwa anaweza kuwa na msaada somehow
Mbio kama hizo ningekuwa nazo mimi, ningezitumia kukimbia matatizo yanguMbio nyingi work done=0
Unamaanisha Nabi achezeshe double striker?Yeye anakimbia peke yake wale wanataka wapitwe kwa pasi za kupenyeza mambo ya Krosi Yanga hawawezi kucheza hata mipira ya kona hatupo sawa tunaweza kupata Kona nyingi na zisifanye kazi zaidi zaidi tunapigwa Counter na kuwa madhara kwetu..sema akicheza Sure boy na vijana wengine wa kazi itakua sio mbaya ila kumtegemea Mayele peke yake sioni kama ni sahihi kocha inatakiwa aje na mbinu mbadala maana waarabu wamekuja kucheza dakika chache Taifa kupoteza muda na kuzuia..
HallelujahImani Yangu ya Kikristo Tena Roman inaniambia Yanga anashinda goal 3 bila
Yethuu na MarieImani Yangu ya Kikristo Tena Roman inaniambia Yanga anashinda goal 3 bila
kwani Imani na Roma wanaanzi benchi au kikosi cha kwanza.?Imani Yangu ya Kikristo Tena Roman inaniambia Yanga anashinda goal 3 bila
Huo mwiko huwa unafanya nini huko nyuma?Kila la kheri Timu ya Wananchi.
Ushindi mnono ndo kusudio letu na si vinginevyo.
#DaimaMbeleNyumaMwiko.
Ikiwezekana Mkuu Waarabu wanakaba mno hata ile mechi ya wale Wasudani wangechezeshwa hivyo maana watu wanazuia muda wote na kumbuka mipira ya faulo huko KB nj kama penati ila mara nyingi Yanga hawaitumii vizuri..Unamaanisha Nabi achezeshe double striker?