Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,718
- 5,899
Na huu mwiko ndyo unawaponza
#DaimaMbeleNyumaMwiko.[emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
#DaimaMbeleNyumaMwiko.[emoji23]
Farid sijamoosoa nomekosoa wale wachezaji anaopendelea kocha kuwapanga yule dogo ni mwepesi hata mechi ya leo inamfaa ila kocha anaweza kumuweka benchi..Faridi Mussa ni bora kuliko hao wote
Anamsaidia lines man [emoji3][emoji3][emoji3]Mi hata sielewi wanampendea nini yule jamaa hahaha. Atakua anachezea mpira dawa. Hata waarabu Berkane nilishangaa sana kumchukua, japo sikushangaa mara ya pili maana kocha wakati ule alikua Ibenge kocha wake wa zamani AS Vita. Yule hata mimi hanipati kiwango changu cha kusakata kabumbu, ana mibio tu kama kichaa na bado haina tija.
Upo ila pole kwa yaliyowakutaHarakati za maisha tu Mtani.
Nimerudi now. Vipi lakini uzima upo?
Hujamkosoa ila mi nimeweka tu kama suggestionFarid sijamoosoa nomekosoa wale wachezaji anaopendelea kocha kuwapanga yule dogo ni mwepesi hata mechi ya leo inamfaa ila kocha anaweza kumuweka benchi..
Hahahaaa. Ahsante bana.Upo ila pole kwa yaliyowakuta
Daima mbele nyuma maelewano, leo Uto waelewane vizuri na MwarabuMbele daima MWIKO UKIWA NYUMA .....sasa leo mwarabu anajitolea mwiko na kupakua kabia ajilie weeeeew
Hasogei yule, atanizid mibio tu...karibu kwa maveteranEeeh!
Mimi kama mwarabu wa tanga, nawatakia heri zote Club AfricainLeo saa 10:00 Jioni kwa saa za Afrika ya Mashariki Yanga Sc watashuka dimbani kumenyana na Club Africaine ya Tunisia
Ikumbukwe kuwa Yanga Sc ndio wawakilishi pekee Kutoka Tanzania Kwenye kinyang'anyiro hiki Cha Caf Confederation Cup.
Hivyo wanawakilishi nchi yetu
Tutaleta live updates hapa kuanzia saa 9:00 jioni na mchezo utakuwa live kupitia Azam Tv chaneli ya Azam Sports One HD.
Mimi kama mwarabu wa tanga, nawatakia heri zote Club Africain
Siku zote hizi ndo kauli zenu Maveterani hakuna ambaye anasema hapo nyuma alikuwa mbovu uwanjani.Hasogei yule, atanizid mibio tu.
Ahsante Mkuu...karibu kwa maveteran
Ni mtu yule sema kocha mara nyingi anamuona ni chaguo la pili wakati sio kweli..Hujamkosoa ila mi nimeweka tu kama suggestion
Yanga wanaelekea Golgotha, Mahala pa Fuvu la Kicha paite CalvaryLeo saa 10:00 Jioni kwa saa za Afrika ya Mashariki Yanga Sc watashuka dimbani kumenyana na Club Africaine ya Tunisia
Ikumbukwe kuwa Yanga Sc ndio wawakilishi pekee Kutoka Tanzania Kwenye kinyang'anyiro hiki Cha Caf Confederation Cup.
Hivyo wanawakilishi nchi yetu
Tutaleta live updates hapa kuanzia saa 9:00 jioni na mchezo utakuwa live kupitia Azam Tv chaneli ya Azam Sports One HD.
Itakuwa kwasababu hajapaka bleach kichwani pamoja na kunyoa kidukuNi mtu yule sema kocha mara nyingi anamuona ni chaguo la pili wakati sio kweli..
Leo Yanga anashinda 4 (NNE), kuna watu hawataamini macho na masikio yao.Ni mtu yule sema kocha mara nyingi anamuona ni chaguo la pili wakati sio kweli..