Unatakaje kumbe ikiwa hata kuvuka hizi hatua za awali ni mbinde, hivi unajielewa kweli? From nowhere tu unawaza hatua ya mwisho bila kupitia za chini?[emoji23]Hatua!!!?..hatua za nini!? Sisi tunataka kombe,siyo kufurahia kufika robo
Tukawafunge kamba tuwalete hapa kwa nguvuJitihada Za Kuwapata Wenye Uzi huu Bado hazijazaa matunda....
Juhudi zinaendelea.!
Ndiomaana kaivuka hatua iliyowashinda nyinyi.Mgunda ana uwezo mkubwa
Ndio akili za Utopolo wanafikiri itatokea tuu siku watapita kote mpaka fainal na kuchukua kombe..Unatakaje kumbe ikiwa hata kuvuka hizi hatua za awali ni mbinde, hivi unajielewa kweli? From nowhere tu unawaza hatua ya mwisho bila kupitia za chini?[emoji23]
Seriously, this is a mental case.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa hukujua kama Nabi haiingii uwanjani?Sasa Nabi ndio anaingia uwanjani?
hadi sasa YANGA SC wanaonekana ndiyo wageni wa game.Goooooal Morisson
Hapaaaana limekataliwa kuna faulo mchezaji wetu mmoja aliangushwa
Haha wanaonijuia hawawezi kuniita utopolo.Kipanga alichezea goli tatu wewe utopolo uwe unauliza kwanza