Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Mukae hadi mwisho sio mukimbie baadae.Wanaokwenda kuiaibisha nchiView attachment 2405043
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mukae hadi mwisho sio mukimbie baadae.Wanaokwenda kuiaibisha nchiView attachment 2405043
Wakae kwa kutuliaMukae hadi mwisho sio mukimbie baadae.
Nipo sanaMukae hadi mwisho sio mukimbie baadae.
Najua Mtani ila kwa game kama ya leo inahitaji Timu ya Wananchi tubadilike.Kipindi cha pili ndio chenu mtani
Hata Farid ndo ila kocha kama haoni. Yaank watu wengine aisee sijui wanafikiriaga nini. Mchezaji tokea apangwe hakuna cha maana alichokionesha lakini bado unamuweka kwenye mechi muhimu. Huyu kocha ana staili lawama za kutolewa na Al Hilal mpaka sasa. Upangaji wa timu ni ovyo kabisahata farid
شكرا لكKikosi kinachoanza cha klabu African
١ محميد على
٢ رشيد بن سعيد
٣ سليمان بن محمد
٤. محمد منصور
٥ عمران حسين
٦ عيسى بن سلطان
٧ حالس عيوب
٨ ياسن ساالم
٩ سمير ناسر
١٠ فهد حسين
١١عبدالله إبن خزيم
hata farid
Ndio ndio.Wakae kwa kutulia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtani upooooooo???Kila la kheri Timu ya Wananchi.
Ushindi mnono ndo kusudio letu na si vinginevyo.
#DaimaMbeleNyumaMwiko.
Ndio ndio mkuu wao wasubiri matokeo tu,Ndio ndio.
Na hivi vibwaya ni vyetu timu ya Wananchi wao wasubiri tu kuona nini kitatokea.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Goal za punyeto au?Imani Yangu ya Kikristo Tena Roman inaniambia Yanga anashinda goal 3 bila
Kocha karudia tena makosa yale yale ya mechi dhidi ya Al Hilal iliyochezwa hapa Tanzania. Isipokuwa leo kaongeza boko zaidi kwa kumpanga Kisinda. Hivi kwanini anashindwa kujua umuhimu wa Bangala kwenye nafasi ya kiungo mkabaji? Makocha wengine aisee hawajui kujifunza
Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
Nipo Mtani. 😅😅 Leo zamu yetu atiii. Teh teh.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtani upooooooo???
KukimbiaaaaaaSielewagi kazi ya Kisinda View attachment 2405034
Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
Hii sio poa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtani mbna hutulii, afu ghafla sana.Ndio ndio.
Na hivi vibwaya ni vyetu timu ya Wananchi wao wasubiri tu kuona nini kitatokea.
Hizo ndizo unazizujua? 😂😂😂 Umetisha mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Goal za punyeto au?