Yanga SC 0-0 Club Africane | CAF Confederation Cup | Mkapa Stadium

Yanga SC 0-0 Club Africane | CAF Confederation Cup | Mkapa Stadium

1667391841370.png
 
Kama msako wa maji haujasababishwa na ilani ya CCM.. Basi na kitakachompata YANGA SC lawama zote nitazitupa kwa ilani katili ya CAF kwa kutupangia mizigo mizito tusiyo na uwezo wa kuibeba.
 
hata farid
Hata Farid ndo ila kocha kama haoni. Yaank watu wengine aisee sijui wanafikiriaga nini. Mchezaji tokea apangwe hakuna cha maana alichokionesha lakini bado unamuweka kwenye mechi muhimu. Huyu kocha ana staili lawama za kutolewa na Al Hilal mpaka sasa. Upangaji wa timu ni ovyo kabisa

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
 
Kikosi kinachoanza cha klabu African
١ محميد على
٢ رشيد بن سعيد
٣ سليمان بن محمد
٤. محمد منصور
٥ عمران حسين
٦ عيسى بن سلطان
٧ حالس عيوب
٨ ياسن ساالم
٩ سمير ناسر
١٠ فهد حسين
١١عبدالله إبن خزيم
شكرا لك
 
Kila la kheri Timu ya Wananchi.

Ushindi mnono ndo kusudio letu na si vinginevyo.

#DaimaMbeleNyumaMwiko.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtani upooooooo???
 
Kocha karudia tena makosa yale yale ya mechi dhidi ya Al Hilal iliyochezwa hapa Tanzania. Isipokuwa leo kaongeza boko zaidi kwa kumpanga Kisinda. Hivi kwanini anashindwa kujua umuhimu wa Bangala kwenye nafasi ya kiungo mkabaji? Makocha wengine aisee hawajui kujifunza

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app

Binafsi Sikutegemea Kumuona Kisinda Kwenye Lineup, ila Ngoja Tuone Mambo Yatakavyokuwa.
 
Back
Top Bottom