Ndo yule aliyetambulishwa kwa style ya kipekee?Chico Ushindi umetunyima ushindi kudadek zako! Wakati mwingine usiwe mbinafsi. Lakini pia uwe na utulivu uwapo golini. Yaani wewe na golikipa, unabutua tu!! Aaaaargghhh!! [emoji31]
Maji ya shingo niniRefa mudaaaaaaa.
Hapo Yanga bado kwao ni advantageAma kweli mziki wa Yanga ni mnene yaani Mbeya City wanashangilia utadhania wamechukua ndoo. 😅
YaapBaiskeli ya miti imeanza kuchochea...
Muache nae afunge ili mtambue uwepo wake..aendelee kuwa mchoyo hivyo hivyo.Chico Ushindi umetunyima ushindi kudadek zako! Wakati mwingine usiwe mbinafsi. Lakini pia uwe na utulivu uwapo golini. Yaani wewe na golikipa, unabutua tu!! Aaaaargghhh!! [emoji31]
Ndio mjue kuwa yanga hawanunui mechi tulikuwa tuna uwezo wa kununua mechi hapa kwa Mkapa sisi huwa tunashinda kihalali kabisa.Ndo yule aliyetambulishwa kwa style ya kipekee?
Wazee wa kukamia timu kubwa! Baada ya mechi hii utashangaa wanapigwa tu mfululizo na wakamiaji wenzao.Ama kweli mziki wa Yanga ni mnene yaani Mbeya City wanashangilia utadhania wamechukua kombe. 😅
Ya miti ikichochea sana ni lazima isambaratike,...Baiskeli ya miti imeanza kuchochea...
Ni swala la mda tu, itazima kabsBaiskeli ya miti imeanza kuchochea...
Nyongeza dk 6, kadi na faulu zote zimepigwa mbeya cityNdio mjue kuwa yanga hawanunui mechi tulikuwa tuna uwezo wa kununua mechi hapa kwa Mkapa sisi huwa tunashinda kihalali kabisa.
Kweli kabisa Mkuu.Hapo Yanga bado kwao ni advantage