Yanga SC 0-0 Mbeya City | Benjamin Mkapa | NPL

Yanga SC 0-0 Mbeya City | Benjamin Mkapa | NPL

Round ya kwanza kila msimu nyie huwa mabingwa, round ya pili ndio ya Simba SC, hapo najua mmeshaanza kutetemeka hizo pointi nane mna bahati imebaki game moja round iishe, kama vp tungezifuta pointi zote round hii ya kwanza.
Endelea kujifarji
 
Ujue nabi anazingua sana, yani anamuweka bench mayele na kumuingiza makambo kweli na anataka kutuamunisha kua yupo seriou?
20220205_210739.jpg
 
Back
Top Bottom