3ZOV
JF-Expert Member
- Dec 28, 2020
- 6,259
- 7,015
roundi hii tu wameanza matusi ngoja tuoneNawahurumia round ya pili mtakuwa wa makasiriko sana, jf waondoe madirisha ya vioo mapema waweke ya mbao tu maana jamaa zangu mtarusha sana mawe...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
roundi hii tu wameanza matusi ngoja tuoneNawahurumia round ya pili mtakuwa wa makasiriko sana, jf waondoe madirisha ya vioo mapema waweke ya mbao tu maana jamaa zangu mtarusha sana mawe...
😂Feisal kawekwa bench aje kama game changer
Umeliona team bovuUkiwa Na Timu Mbovu Lazima Uwaze Upangaji Wa Matokeo.
Hiyo inaitwa weka kipara niite konzi
Hata saido kulikuwa hakuna sababu ya kumuacha nje hata benchi asiwepo, huyu kocha anataka aianze valentine vibayaHujui makambo mzee wa kuwajaza
Naam ila leo kutakuwa na utofauti kidogo katika usemaji wake ambao tumekuwa tukiuona baada ya timu kushindaManara Semaji la Yanga, cheo chake ni kikubwa kuliko kuwa Mkurugenzi wa Halmashauri
Mko chaka gani sasa mbona hamuonekani kama matiti ya nyoka?Kumbe unawakubali kimoyomoyo kama mimi mwanasimba mwenzako
atakuwa bwaksi kinyama, ila akilala akiamka atakuta matokeo ni yaleyale.Mko chaka gani sasa mbona hamuonekani kama matiti ya nyoka?
Kwani ubishi ni kuongoza ligi au kuchukua kombe?Yaani hata Yanga akitoa sare mechi 8 na Simba sports akashinda mechi 8 zote, ila Simba Sports hawezi kuongoza ligi
Yaani hawa jamaa wana umoja wa kunguniatakuwa bwaksi kinyama, ila akilala akiamka atakuta matokeo ni yaleyale.
Haya ndio matokeo ya kutumia bangi na kushabikia mpiraYaani hata Yanga akitoa sare mechi 8 na Simba sports akashinda mechi 8 zote, ila Simba Sports hawezi kuongoza ligi
Yanga sio mbovu hao wanaosema hivyo wanafki tuTeam imefanya poa hatuna cha kuwadai
Nb: wanatamani kusema mbeya city wabovu ila wakikumbuka walifumuliwa kimoja wanakaa kimya..
Hakuna Shabik Wa Simba Alosema Mbeya City Wabovu, Ni Wazur Sana tu Ndomana Walitufunga Kwao Na Umetoka Nao Droo Kwako.Team imefanya poa hatuna cha kuwadai
Nb: wanatamani kusema mbeya city wabovu ila wakikumbuka walifumuliwa kimoja wanakaa kimya..
Sisi tumepata point moja usiseme draw tuHakuna Shabik Wa Simba Alosema Mbeya City Wabovu, Ni Wazur Sana tu Ndomana Walitufunga Kwao Na Umetoka Nao Droo Kwako.
Zibeni hilo tundu kwanza walilowatoboa ndio mje tuongee mezaniYanga sio mbovu hao wanaosema hivyo wanafki tu
Wanasema hivyo kwakua mayele hajacheza