Yaani hata Yanga akitoa sare mechi 8 na Simba sports akashinda mechi 8 zote, ila Simba Sports hawezi kuongoza ligiKwani ubishi ni kuongoza ligi au kuchukua kombe?
Msimu uliopita nyinyi mlipoteza points sio kwa kufungwa ni kwa sare, sasa tulieni wekeni umakini muone kinachokuja ni kitu gani
Leo jamaa yenu hajatetemesha maziwa kama kawaida yake pindi akifunga
Yaani hata Yanga akitoa sare mechi 8 na Simba sports akashinda mechi 8 zote, ila Simba Sports hawezi kuongoza ligiHaya ndio matokeo ya kutumia bangi na kushabikia mpira
Una uhakika na hii hesabu yako?Yaani hata Yanga akitoa sare mechi 8 na Simba sports akashinda mechi 8 zote, ila Simba Sports hawezi kuongoza ligi
Litazibika baada ya kuchukua kombe, ila leo nalaani sana kutochezeshwa mayeleZibeni hilo tundu kwanza walilowatoboa ndio mje tuongee mezani
Mechi 8 ndio mwisho wa ligi?Yaani hata Yanga akitoa sare mechi 8 na Simba sports akashinda mechi 8 zote, ila Simba Sports hawezi kuongoza ligi
Mayele 6 goalLitazibika baada ya kuchukua kombe, ila leo nalaani sana kutochezeshwa mayele
Ajabu mnateseka nyie sisi tupo normalUjue nabi anazingua sana, yani anamuweka bench mayele na kumuingiza makambo kweli na anataka kutuamunisha kua yupo seriou?
Aisee kumbe mayele ni mfungaji bingwa namna hiyo?Mayele 6 goal
Kagere 5 penalty
Hakuna anayeteseka na unakila sababu za kuvimbaAjabu mnateseka nyie sisi tupo normal
lipi la mwiko nyuma auZibeni hilo tundu kwanza walilowatoboa ndio mje tuongee mezani
😹😹😹Yaani hata Yanga akitoa sare mechi 8 na Simba sports akashinda mechi 8 zote, ila Simba Sports hawezi kuongoza ligi
uko normal bwana utoAjabu mnateseka nyie sisi tupo normal
amekufa kwa timing, alijua kabisa angekufa kifudifudi wapemba wangemgombea
Mkuu nilifanya hivo, ndo nikaambiwa nisubiri dakika 20. Sasa najiuliza ulimwengu wa digital kweli kubadili kifurushi ichukue dakika ishirini zote. Kuwapandia hewani kajamaa kanaanza kunimind eti nimelipia na kuanza kupiga simu.Next time piga *150*50*5#
Kuna menu itakuelekeza kutuma ujumbe wa kuwasha kisimbusi..
Azam TV
.Burudani kwa wote.