Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
wapo vizuri sanaKwa kiwango walichoonesha mbeya city kwa dakika hizi na kwa ubovi wa simba alionao msimu huu
najikuta siilaumu simba kufungwa na mbeya city
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wapo vizuri sanaKwa kiwango walichoonesha mbeya city kwa dakika hizi na kwa ubovi wa simba alionao msimu huu
najikuta siilaumu simba kufungwa na mbeya city
Kazingua sana na uchama wake atajikuta ameanza kutengeneza matabakaMpira na siasa vipi tena jamani..
Mpenja anazingua.
Yanga anatikiwa apigwe kimoja ashtuke.Hawa mbeya city kipindi cha pili wakija na plan ya kuzuia wanafungwa
Ndio nimeelewa kabisa kabisa, kama unadhani nimekosea basi subiri FT ndio utakubaliana na mimi.Umeelewa ulichoandika lakini? 😅😅😅
Hawa wangecheza pale isanga mbona wangekufa nyingi tuHT 0-0 bahati yenu mechi inachezwa dar.
Wanasaka teuzi, kuna nafasi za Wakurugenzi wa Nne ziko Wazi.Kazingua sana na uchama wake atajikuta ameanza kutengeneza matabaka
Kumbuka hata sisi wakati tunacheza na hawa mbeya city walikuwa nusu na tulipewa penati, ila bado walitufunga. Acha kuwazodoa Yanga0-0 bahati yenu mechi inachezwa dar.
Ngoja tu usijari, we hata ukiangalia mazingira ya hapa jukwaani huoni dalili?Yanga anatikiwa apigwe kimoja ashtuke.
Kumbuka hata sisi wakati tunacheza na hawa mbeya city walikuwa nusu na tulipewa penati, ila bado walitufunga. Acha kuwazodoa Yanga0-0 bahati yenu mechi inachezwa dar.
Kakosa manara ambaye yumo chamani apewe yeye? atakuwa mtoto wa mgangaWanasaka teuzi, kuna nafasi za Wakurugenzi wa Nne ziko Wazi.
Nimewadia mapema tu kusindikiza ushindi wa Mbeya city.Naona ushawadia aisee.
Hii game inaisha Yanga 2 Mbeya City 0. 😎😎
Hapana labda kwa rekodi zingine zilizopita ila leo kawa bora sana pale goliniDida simuamini amini
Yanga huwa inacheza vizuri kutokana viungo bora wakishirikiana Bangala na Aucho lakini Mauyo hawezi kuvaa viatu vya Bangala kwenye kiungo. Mauya na Brayson wapotezaji wakubwa wa mipira. Hata Farid naye Kuna muda anapatia wakati anazingua piaTeam leo haichezi vizuri usimulaumu peke yake
😅😅Ndio nimeelewa kabisa kabisa, kama unadhani nimekosea basi subiri FT ndio utakubaliana na mimi.