Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chache sanaDakika 3 zimrongezwa
Sijui huwa wanapiga mahesabu vipi, zinapotea Dakika 8 wanaongeza 3Dakika 3 zimrongezwa
Tulia wwSijui huwa wanapiga mahesabu vipi, zinapotea Dakika 8 wanaongeza 3
Dida amekuwa bora sana, na saidoo kawa mshambuliaji hatari sana
Afadhali leo umetubuKwa kiwango walichoonesha mbeya city kwa dakika hizi na kwa ubovi wa simba alionao msimu huu
najikuta siilaumu simba kufungwa na mbeya city
Acha Dharau basiKwa kiwango walichoonesha mbeya city kwa dakika hizi na kwa ubovi wa simba alionao msimu huu
najikuta siilaumu simba kufungwa na mbeya city
Na hata saizi tangu zimeongezwa dakika 3 tayari zimeondoka dakika 5 na mpira hauendi halftimeSijui huwa wanapiga mahesabu vipi, zinapotea Dakika 8 wanaongeza 3
HahahaGSM hao
Tayari zile dakika 8 zimefidiwa kisiasaSijui huwa wanapiga mahesabu vipi, zinapotea Dakika 8 wanaongeza 3
Biya biya...YangaTulia ww
Nimeona, Refa hana mawasiliano na wenzieTayari zile dakika 8 zimefidiwa kisiasa
Wakati zinaongezwa dakika 3 golikipa alikuwa chini anatibiwa, kwaio dak zinahesabika baada ya kuamka. Ila game imesimama sana hata izo dak 7 naona km vile chacheDk 3 za nyongeza. Yeye anacheza dk 7. Sijui hawa marefa wanaugonjwa gani