Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni leo tu kwani??Team leo haichezi vizuri usimulaumu peke yake
Anatafuta teuzi mkuu.Mpira na siasa vipi tena jamani..
Mpenja anazingua.
Ukiwa Na Timu Mbovu Lazima Uwaze Upangaji Wa Matokeo.Kila la kheri team la mchongo team la kupanga matokeo
Hawa Watoto Wamekuja Kwa Mpira Wa Nguvu Na Kukamia Ila Tunawaweka Vizuri Tu.Kila la kheri chama kubwa. Mungu awatangulie wananchi wenzangu inshallah tutashinda. [emoji172] [emoji172] [emoji169] [emoji169]
acha lawamaNi leo tu kwani??
Ndiyo uwezo wake ...Moloko kapiga kona mbovu imetoka nje moja kwa moja bila kuguswa na mtu