ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Mauya unamchukuliaje?Roho yangu imeingia mashaka mechi ya leo baada ya kumuona brayson na Mauya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mauya unamchukuliaje?Roho yangu imeingia mashaka mechi ya leo baada ya kumuona brayson na Mauya
Hii mechi Yanga wamezidiwa na approach aliyokuja nayo Nabi ni mbaya. Mauya na Bryson mechi hii hawaiwezi.Hawa madogo wanaizidi yanga kwenye swala la mbio, yani mipira wakijitangulizia mara nyinginwao ndio wanaikuta na kutengeneza shambulizi
Feisal kawekwa bench aje kama game changerHii mechi Yanga wamezidiwa na approach aliyokuja nayo Nabi ni mbaya. Mauya na Bryson mechi hii hawaiwezi.