Yanga Sc 0-0 Simba SC| Ligi Kuu NBC | Benjamini Mkapa Stadium

Hiki kipindi cha kwanza ni cha yanga
 
Hii mipira wanayookoa yanga afu hakuna mchezaji wa Simba, sielewi wanajipanga vipi.

Unakuta ni rahis kupigwa hata kaunta.

Haiwezekan kona inapigwa mpira unaokolewa nje ya 18 hakuna mchezaji wa simba wa kurudisha mashambulizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…