Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Barikiwa sanaSimba 3 Yanga 1
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Barikiwa sanaSimba 3 Yanga 1
Sahihi kwa 100%Simba 2 Yanga 0. Mugalu, Sakho.
Pengine masharti ya mgangaWe jamaa nyuzi zako zote unapost saa 6 kamili usiku,Kwa nini?
[emoji1534][emoji1534][emoji1534]vyovyote itakavyokuwa, Mayele hatofunga wala kutetema!!
Yanga 1-2 Simba
Namuona Chama akiingia kambani huku Kapombe akitakata mechi hiyo!
Ila red card itawaathiri sana Yanga!
Simba...Nguvu Moja
Nawapongeza Simba kwa hamasa. Yani uzi huu mmeshatawala
Ukuti ukutiiii.....!KIKOSI CHA YANGA.
1. DIARRA
2. DJUMA
3. SHOMARI
4. BANGALA
5. MWAMNYETO
6. SURE BOY
7. MOLOKO
8. AUCHO
9. MAYELE
10. FEISAL
11. MAKAMBO.
Mungu ibariki SIMBAFt: Uto 0 Vs 2 Simba Sc.
Kila la kheri Simba Sc timu yenye mafanikio zaidi Tanzania.
Hii nchi inalindwa babu, usione unalala usingizi fofofo unaamka salama. Muulize Zelensky akwambie!We jamaa nyuzi zako zote unapost saa 6 kamili usiku,Kwa nini?
AMIIN.Mungu ibariki SIMBA
WeeeeeeeSimba 3 Yanga 1
Amebarikiwa utu na utulivu...This is SIMBA View attachment 2205412
AiseeeCORRECT SCORE
HT YANGA 1-1 SIMBA
FT YANGA SC 3-1 SIMBA SC.
Msiniulize nilikotoa matokeo ila ndio hivyo. SIMBA atatangulia goli la mapema kisha YANGA atachomoa katika kipindi cha kwanza.
Kipindi cha Pili, YANGA watapata goli 2, ktk goli hizo moja litafugwa kwa mguu wa KUSHOTO na Moja la KICHWA.
Tukutane kesho Saa 2 Usiku mara baada ya mechi.
Anakiogopa kitanda.We jamaa nyuzi zako zote unapost saa 6 kamili usiku,Kwa nini?
Huyu mtoto si riziki. Huwezi kuwa na tumbo kubwa kiasi hiko halafu "ukatetema" dimbani 6x6.