Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AMINANapenda kuwashukuru na kuwapongeza wazazi wa bibi harusi kwa kumlea na kumtunza vema mtoto wao hadi kufikia leo anaolewa akiwa na uanamwali wake (BIKRA )
Subiri jioni uone atakavyoharibikiwaAmebarikiwa utu na utulivu...View attachment 2205455
Huu utabiri ilitakiwa uugeuze iwe pesa, weka mkeka kabisa. Kama details zote ulizotaja hapa ni za uhakika kama unavyosema, nakuona ukiwa umejaa vibunda baada ya mechi.CORRECT SCORE
HT YANGA 1-1 SIMBA
FT YANGA SC 3-1 SIMBA SC.
Msiniulize nilikotoa matokeo ila ndio hivyo. SIMBA atatangulia goli la mapema kisha YANGA atachomoa katika kipindi cha kwanza.
Kipindi cha Pili, YANGA watapata goli 2, ktk goli hizo moja litafugwa kwa mguu wa KUSHOTO na Moja la KICHWA.
Tukutane kesho Saa 2 Usiku mara baada ya mechi.
Siku mpya imeingiaWe jamaa nyuzi zako zote unapost saa 6 kamili usiku,Kwa nini?
Kuna penalty kwa Morrison..Utaniambia baadaye..!vyovyote itakavyokuwa, Mayele hatofunga wala kutetema!!
Yanga 1-2 Simba
Namuona Chama akiingia kambani huku Kapombe akitakata mechi hiyo!
Ila red card itawaathiri sana Yanga!
Simba...Nguvu Moja
Eti pumzi ya moto,badala yake makolo ndio mtapewa hiyo ya moto.Kuna mtu Anaenda kupewa Pumzi Ya Moto...