Yanga Sc 0-0 Simba SC| Ligi Kuu NBC | Benjamini Mkapa Stadium

Yanga Sc 0-0 Simba SC| Ligi Kuu NBC | Benjamini Mkapa Stadium

Hmmh, mmegeuka tena? Sio nyinyi mliokuwa mnatamba kuwa mtaichakaza Simba Sc na Mayele atatetema?

Kuna derby ambayo Simba Sc ilikuwa imekaa kimya kama hii?

Kubalini tu kuwa hamna team ya maana kama ambavyo mmekuwa mkiikuza. Sajilini, laasivyo mtatoka mapema tena kama mwaka jana maana sioni team ya kimashindano hapo.

Sisi tunayajua madhaifu yetu na tutarudi kivingine.
Si tunataka kombe la ligi kuu....huko kimataifa hakuna timu ya tanzania itakayochukua ubingwa...Simba lini walichukua kombe lolote huko kimataifa?
 
Nyie si mna kioksi Bora Yani mmekosa hata shot moja[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kweli kabisa, ninyi Makolo si mmepata shuti 1 na mmeshinda, msimamo wa NBC PL ukwapi sasa pamoja na kukosa shuti hata 1 golini mwa MAKOLOKOLO [emoji848][emoji28]
 
Si tunataka kombe la ligi kuu....huko kimataifa hakuna timu ya tanzania itakayochukua ubingwa...Simba lini walichukua kombe lolote huko kimataifa?
Masindikazaji bora tu hayo ya Wanaume kwa zaidi ya miaka mi4 yote, wala hayana kombe lolote nnje ya nchi zaidi ya kujiita tu MAKOLOKOLO FC [emoji38]
 
Makolo mna kila sababu ya kushangilia hii droo, mlukuwa na hali mbaya
 
Hmmh, mmegeuka tena? Sio nyinyi mliokuwa mnatamba kuwa mtaichakaza Simba Sc na Mayele atatetema?

Kuna derby ambayo Simba Sc ilikuwa imekaa kimya kama hii?

Kubalini tu kuwa hamna team ya maana kama ambavyo mmekuwa mkiikuza. Sajilini, laasivyo mtatoka mapema tena kama mwaka jana maana sioni team ya kimashindano hapo.

Sisi tunayajua madhaifu yetu na tutarudi kivingine.
Uto ukimkaba Mayele wanaobaki wote wanageuka kikundi cha Wahuni
 
Tushukuru inonga yupo Simba angekuwa yanga si bure mashabiki wao wangetuma clip nyingi za kuahidi kumpa jicho na kumzalia watoto [emoji102]
 
mchezaji wangu bora katika derby ya leo ni
Henock Inonga Baka. mtu katili sana kwa ma-foward wa utopolo.
20220430_190931.jpg
 
Ila tuseme tu kwa ukweli na msema kweli ni mpenzi wa Mungu.

Kama Utopolo wameshindwa kuifunga Simba hii yenye washambuliaji wazee basi tena. Inabidi wakikague vizuri kikosi chao au wavunje benchi la ufundi. Haiwezekani Simba hii ya akina Mhili, Kibu Denis na Bocco mzee na Kagere isifungwe na Yanga.
 
Ila tuseme tu kwa ukweli na msema kweli ni mpenzi wa Mungu.

Kama Utopolo wameshindwa kuifunga Simba hii yenye washambuliaji wazee basi tena. Inabidi wakikague vizuri kikosi chao au wavunje benchi la ufundi. Haiwezekani Simba hii ya akina Mhili, Kibu Denis na Bocco mzee na Kagere isifungwe na Yanga.
Eti msema kweli mpenzi wa Mungu. Teh teh.

Sasa Mtani nyie wana robo fainali wenye kombe la robo mnafungika kweli. 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom