Laki Si Pesa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2018
- 5,085
- 9,022
Si tunataka kombe la ligi kuu....huko kimataifa hakuna timu ya tanzania itakayochukua ubingwa...Simba lini walichukua kombe lolote huko kimataifa?Hmmh, mmegeuka tena? Sio nyinyi mliokuwa mnatamba kuwa mtaichakaza Simba Sc na Mayele atatetema?
Kuna derby ambayo Simba Sc ilikuwa imekaa kimya kama hii?
Kubalini tu kuwa hamna team ya maana kama ambavyo mmekuwa mkiikuza. Sajilini, laasivyo mtatoka mapema tena kama mwaka jana maana sioni team ya kimashindano hapo.
Sisi tunayajua madhaifu yetu na tutarudi kivingine.
Kweli kabisa, ninyi Makolo si mmepata shuti 1 na mmeshinda, msimamo wa NBC PL ukwapi sasa pamoja na kukosa shuti hata 1 golini mwa MAKOLOKOLO [emoji848][emoji28]Nyie si mna kioksi Bora Yani mmekosa hata shot moja[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Masindikazaji bora tu hayo ya Wanaume kwa zaidi ya miaka mi4 yote, wala hayana kombe lolote nnje ya nchi zaidi ya kujiita tu MAKOLOKOLO FC [emoji38]Si tunataka kombe la ligi kuu....huko kimataifa hakuna timu ya tanzania itakayochukua ubingwa...Simba lini walichukua kombe lolote huko kimataifa?
Uto ukimkaba Mayele wanaobaki wote wanageuka kikundi cha WahuniHmmh, mmegeuka tena? Sio nyinyi mliokuwa mnatamba kuwa mtaichakaza Simba Sc na Mayele atatetema?
Kuna derby ambayo Simba Sc ilikuwa imekaa kimya kama hii?
Kubalini tu kuwa hamna team ya maana kama ambavyo mmekuwa mkiikuza. Sajilini, laasivyo mtatoka mapema tena kama mwaka jana maana sioni team ya kimashindano hapo.
Sisi tunayajua madhaifu yetu na tutarudi kivingine.
Washakubali huko kwao hamna kitu. So waliyekuwa wanamtazama ni Mayele tu.Mimi nikajua mtajadili uwepo wa mgalu uwanjani? Kumbe mlitaka awatie kijitii Tena [emoji3]
Fuatilia post za mapema mtaniNaona sasa ndo umepata nguvu ya kureply now. 🤣🤣🤣
Relax Mtani.
Wana kombe la robo.Si tunataka kombe la ligi kuu....huko kimataifa hakuna timu ya tanzania itakayochukua ubingwa...Simba lini walichukua kombe lolote huko kimataifa?
Ila haukuwa na Morali kama sasa bana. 🤣🤣Fuatilia post za mapema mtani
Hahahaaa. Ndo mana wanatembea kifua mbele eee? 🤣🤣Wana kombe la robo.
[emoji16]
Hata saivi sina moodIla haukuwa na Morali kama sasa bana. 🤣🤣
Eti msema kweli mpenzi wa Mungu. Teh teh.Ila tuseme tu kwa ukweli na msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
Kama Utopolo wameshindwa kuifunga Simba hii yenye washambuliaji wazee basi tena. Inabidi wakikague vizuri kikosi chao au wavunje benchi la ufundi. Haiwezekani Simba hii ya akina Mhili, Kibu Denis na Bocco mzee na Kagere isifungwe na Yanga.
Kama uchawi unafanya kazi kwenye Soccer tungeshiriki Afcon ya mwaka huu kule CameroonHataki lawama, kaambiwa Simba analoga apate penati.
Ile ahadi ya mayele kuwa ana deni na simba bado ipo au tumuulize enonga?Jumlisha magoli yote ya MAKOLO wenu washambuliaji kisha uone kwanini Mayele ni Baba lao kwa kutetema [emoji28]
Dah..umeenda mbali sana ndugu ni mwanaume yule sio fair kumsema hiviHuyu kipa wa yanga yuko kwenye siku zake.