Yanga Sc 0-0 Simba SC| Ligi Kuu NBC | Benjamini Mkapa Stadium

Yanga Sc 0-0 Simba SC| Ligi Kuu NBC | Benjamini Mkapa Stadium

Yani ata ikitokea akaafunga bado kwangu nimesha conclude kua hamna striker humu, Morrison hatakiwi kurudi uwanjani,Sacko kama kawaida yake mbwembwe nyingi bila madhara yoyote.bora hata wacheze akina Mhilu.

Yani huu msimu Simba hatuna watu wakutia mpira kambani kabisa tunapata magoli kwa shida sana.
Yani utoe Morrison uingize mhilu?? Hebu acheni utani bwana.
 
Simba timu yangu but like amedhibiyiwa kabisa na Yanga.Hawana mashambulizi kabisa.Ni nn shida?
 
Simba washirikina sana. Wanamshika miguu Mayele akitaka kushuti
20220426_143009.jpg
 
Yani ata ikitokea akaafunga bado kwangu nimesha conclude kua hamna striker humu, Morrison hatakiwi kurudi uwanjani,Sacko kama kawaida yake mbwembwe nyingi bila madhara yoyote.bora hata wacheze akina Mhilu.

Yani huu msimu Simba hatuna watu wakutia mpira kambani kabisa tunapata magoli kwa shida sana.
super BM asitoke anachotakiwa kufanya kocha ni kuongea naye kiutu uzima anaelewa yule super BM n mzuri sana akiacha utoto wake huwezi fananisha na Mhilu aisee
 
Kwa umri wa Aucho,Bangala na Saidoo na nafasi ngumu wanazocheza natumaini kipindi cha pili kuna pahala watapwaya hawa mababu.
 
Back
Top Bottom