Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaa. Kuna muda alizingirwa na kama mtu tano hivi. LolUshindi wa simba ni kumzuia Mayele asifunge
Yani utoe Morrison uingize mhilu?? Hebu acheni utani bwana.Yani ata ikitokea akaafunga bado kwangu nimesha conclude kua hamna striker humu, Morrison hatakiwi kurudi uwanjani,Sacko kama kawaida yake mbwembwe nyingi bila madhara yoyote.bora hata wacheze akina Mhilu.
Yani huu msimu Simba hatuna watu wakutia mpira kambani kabisa tunapata magoli kwa shida sana.
Inawezekana tatizo ni kwamba mjuaji anacheza na asiyejua..!derby ya hovyo hata attempt hamna za kueleweka
Mrembo tu yule.Ushindi wa simba ni kumzuia Mayele asifunge
Simba
Nitaanza kuilaumu kwenye usajili unaokuja.
Simba washirikina sana. Wanamshika miguu Mayele akitaka kushuti
super BM asitoke anachotakiwa kufanya kocha ni kuongea naye kiutu uzima anaelewa yule super BM n mzuri sana akiacha utoto wake huwezi fananisha na Mhilu aiseeYani ata ikitokea akaafunga bado kwangu nimesha conclude kua hamna striker humu, Morrison hatakiwi kurudi uwanjani,Sacko kama kawaida yake mbwembwe nyingi bila madhara yoyote.bora hata wacheze akina Mhilu.
Yani huu msimu Simba hatuna watu wakutia mpira kambani kabisa tunapata magoli kwa shida sana.
Jinsi simba inavyocheza ingekuwa wanacheza na timu kubwa wangekuw wameshafungwa.Inawezekana tatizo ni kwamba mjuaji anacheza na asiyejua..!
Andika vizuri nikuelewe,tulia usipanikiTujue kwanza hapo hao wakimataifa waliopo leo wamechqjiwa au hawakuchajia?