Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni lazima kulikuwa na mawasiliano kati yake na kocha baada ya team kwenda mapumziko na hata walipokuwa jukwaani.Angekuwa Nabi Makambo Angeingia Nafasi Ya Moloko Na Kwa Nafasi Alizopata Nkane Makambo Angetupa Ushindi
Amna bana mayele hakuchezaMazuzu hawaamini kama Manywele alicheza hoo game, kikosi kilipaki basi muda sana
Utopolo magoli ya kuvizia 10 in 21 games.MAKOLO Penalty goals 8 of 20 matches VS YANGA penalty goals 3 of 21 matches, endelea kuteseka ndugu [emoji28]
Tuliwaambia muwe na akiba za maneno sababu mliimba taarabu sana kuwa mtamalizia hasira zenu kwa YANGA baada ya kupigwa kipigo kitakatifu na Orlando Pirates, kiko wapi sasa [emoji848][emoji23]Tutamchapa FA
Sawa basi ninyi MAKOLOKOLO mnaongoza ligi kwa point na idadi ya magoli mazuri wala si ya kuvizia [emoji1787]Utopolo magoli ya kuvizia 10 in 21 games.
Hadi ukipa sio?Nani kakudanganya huyo jamaa anaweza namba zote
Kwani nani ambaye alikuwa anam praise Mayele humu kuwa lazima atatetema?Tuliwaambia muwe na akiba za maneno sababu mliimba taarabu sana kuwa mtamalizia hasira zenu kwa YANGA baada ya kupigwa kipigo kitakatifu na Orlando Pirates, kiko wapi sasa [emoji848][emoji23]
Weka na msimamo wa NBC PL hapa tumuone asiye muhuni anafanya nini mikiani badala ya kukaa kileleni [emoji851]Yanga ni kikundi cha wahuni [emoji12][emoji12][emoji1787][emoji1787]View attachment 2206470
Jumlisha magoli yote ya MAKOLO wenu washambuliaji kisha uone kwanini Mayele ni Baba lao kwa kutetema [emoji28]Kwani nani ambaye alikuwa anam praise Mayele humu kuwa lazima atatetema?
Mmesajili vibrator halfu hamna uhakika wa umeme unafikiri huo mtetemo mtaupatia wapi?
Ni hivyo tu hatupendi kuliongelea hili kwasababu tuna huzuni na sare hii
kwani ni mchezaji wa Namungo?Ila Simba mumshukuru Enok
Nyie si mna kioksi Bora Yani mmekosa hata shot moja🤣🤣🤣Weka na msimamo wa NBC PL hapa tumuone asiye muhuni anafanya nini mikiani badala ya kukaa kileleni [emoji851]
Hakuna Mimi Nakwambia Yale Ni Mawazo Ya Kaze Amini Usiamini.Ni lazima kulikuwa na mawasiliano kati yake na kocha baada ya team kwenda mapumziko na hata walipokuwa jukwaani.
Kaze mnamlaumu bure tu.
Azam TV huu ni Mchongo....Second half Muda Mwingi ilikuwa Msako Wa Unatoa hutoi ..Possession 'eti' 49% kwa 51%.Yanga ni kikundi cha wahuni 😜😜
MAKOLOKOLO yamebebwa sana kwa kutopewa kadi nyingi tu za njano lakini YANGA ni BINGWA ndiyomaana walibidi wawavuruge kuwapa kadi hovyo hovyo ili wawaathiri kisaikolojia wafungwe na MAKOLO [emoji13]Ile kadi ya kipa was yanga ilikuwa ya kosa gani?Ya chizi tunajua kosa lake!
Hmmh, mmegeuka tena? Sio nyinyi mliokuwa mnatamba kuwa mtaichakaza Simba Sc na Mayele atatetema?Tuliwaambia muwe na akiba za maneno sababu mliimba taarabu sana kuwa mtamalizia hasira zenu kwa YANGA baada ya kupigwa kipigo kitakatifu na Orlando Pirates, kiko wapi sasa [emoji848][emoji23]
M'mepata point 3 hongereniYanga ni kikundi cha wahuni 😜😜🤣🤣View attachment 2206470