Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwanza ile penati angepewa Mayele afunge hata akiwa kafumba machoMayele asingekuwa majeruhu hii ngoma ingeisha akiwa na hatrick
Jana Simba ilishinda 4Game hii na ya Jana ina utofauti gani?? Ushabiki maandazi bhana.
Mchezo umeshaishaa!Dkk ya ngapi huko??
Pole mkuuFisi wakubwa nyie
Kuna taarifa Za 'Kientilejinsia' Zinadai ulionekana bom bom ukisafiri....😆😆Vipi penalti ya Mayele imetua wapi? Au bado ipo angani?
Hujui lolote unajua mpole ana penalty ngapi na mayele ngapi kama sio hii tu?Ni vyema Mayele awe anapiga penalty ili kuongeza magoli na kumpita George Mpole.
Tate Mkuu njaakalihatari OKW BOBAN SUNZU CHAMASON-MORISON-SAKHOSON
NAWATAFUNA
Anyang'anywe ng'ombe kesi iishe 😂😀Tuwe tu wakweli, Mayele anawajibika moja kwa moja kwa haya matokeo. Hakuwa na sababu ya kukimbilia kupiga ile penati huku mpigaji wa siku zote akiwa ni Juma Shabani.
Naamini wakati mwingine atajifunza nini maana ya kuipambania timu kwanza
Kuwa mpole unapozungumzia wachezaji wenye kujituma na ma husler kama mpole hupaswi kuwalinganisha na waviziajiHujui lolote unajua mpole ana penalty ngapi na mayele ngapi kama sio hii tu?
Nitokee hapa