ZionGate
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 6,362
- 2,991
Tatu kwa pira bovu mnalocheza, nimeamini ushindi wa Yanga ni wamchongoAcha kabisa. Ilitakiwa na sisi tuwapige walau hata bao 3 prisons na hapo ndo ingekuwa afadhali.
Ila mpaka sasa. [emoji848][emoji848] hata sielewi aisee.