Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenye nafasi alikuwa Feisal,na ndiye alitoa pasiMayele alikuwa kwenye timing nzuri ya kufunga bao mwisho wa siku kacheza makida mpira ukapokwa akabaki kaduwaa haelewi hata mpira umemtokaje
Simba alikuwa anakuwa na Viporo, saizi añgekuwa na mechi za viporo 5 za kushindia ubingwa saizi ni jino kwa jinoTukumbuke jambo 1 kwamba, Simba Sc miaka yote huwa anampita Yanga baada ya kutoka kwenye mashindano ya kimataifa.
Jumatano Simba akishinda linabaki gap la point 8 huku kila mmoja akibaki na michezo 7.
Michezo 7= 21 points.
Hapo Simba Sc ashinde match zote halafu mengine tutajuana mbele kwa mbele
Dua la kukuSimba alikuwa anakuwa na Viporo, saizi añgekuwa na mechi za viporo 5 za kushindia ubingwa saizi ni jino kwa jino
Achana na ya feisal, attempt iliyotangulia ilikuwa ni mayeleMwenye nafasi alikuwa Feisal,na ndiye alitoa pasi
Hilo Dua la viporo ndiyo hamna msimu huu mkuu,tucheze jino kwa jino tuDua la kuku
Ile game ya Namungo tulishagive up title ya Ubingwa ndio maana tuliidharau. Bila hivyo tungekuwa tunaongea gap la point sita hapa..Tukumbuke jambo 1 kwamba, Simba Sc miaka yote huwa anampita Yanga baada ya kutoka kwenye mashindano ya kimataifa.
Jumatano Simba akishinda linabaki gap la point 8 huku kila mmoja akibaki na michezo 7.
Michezo 7= 21 points.
Hapo Simba Sc ashinde match zote halafu mengine tutajuana mbele kwa mbele
ulozi anafanya shaban djumaDuh kweli uchawi upo yaani Nabi haoni kile tunachokiona sisi
Huu mpira wa mayele madhara yake sio ya kupuuzia
HongeraDraw nyingine kwetu wananchi
Wote hao zeroMayele [emoji460]
Saido [emoji460]
Feisal [emoji460]
Aucho [emoji460]
Simba alikosea sana kutoa droo na Polisi na Namungo. Zile ni droo za kujitakiaTukumbuke jambo 1 kwamba, Simba Sc miaka yote huwa anampita Yanga baada ya kutoka kwenye mashindano ya kimataifa.
Jumatano Simba akishinda linabaki gap la point 8 huku kila mmoja akibaki na michezo 7.
Michezo 7= 21 points.
Hapo Simba Sc ashinde match zote halafu mengine tutajuana mbele kwa mbele
Hii hapa muone mayele alicho kifanyaMwenye nafasi alikuwa Feisal,na ndiye alitoa pasi