Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mayele atafunga tu magoli maana kukosa penalty wamekosa hadi akina CR 7, Messi ndiyo iwe nongwa kwa Mayele [emoji848][emoji28]Mayele kapaza aiseee yani huwezi amini ndugu mtazamajinwa comments lakini habari ndiyo hiyo msela sijui kavaa dundo la namna gani yani yeye na kipa lakini kapaza
Hivi unajua namanyele ni Kijiji chetu huko sumbawanga?🤣🤣Namanyeleeeeeee...🤣🤣🤣🤣
Ni mwendo wa kujifarijiMayele atafunga tu magoli maana kukosa penalty wamekosa hadi akina CR 7, Messi ndiyo iwe nongwa kwa Mayele [emoji848][emoji28]
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Hata songea/ruvuma nadhani pia kuna sehemu inaitwa hivyoHivi unajua namanyele ni Kijiji chetu huko sumbawanga?🤣🤣
Ila mchizi hayuko poa mentality, we mcheki tu anapoanza kupiga mpira observe body language utaona kwamba mchizi ana mengi yanayomtatizaMayele atafunga tu magoli maana kukosa penalty wamekosa hadi akina CR 7, Messi ndiyo iwe nongwa kwa Mayele [emoji848][emoji28]
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Toka lini keshawahi kuwa na kiwango bora zaidi ya kile cha kuvizia na kutetema🤣Kiwango cha mayele leo ni kibovu sijawahi kuona
Subiri uone. Atafanyia tu kazi.Nilikuambiaje kuhusu swala lako la kumshauri kocha?