Mshuza2
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 11,261
- 17,202
Ila huyu refa hana neno kwa miamala..kipindi cha pili uhakika mtashinda tena nyingi tu.Daah! Sijui alikuwa anawaza wapi aisee.
Haya tumeyazowea huko 5imba ujue. Teh teh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila huyu refa hana neno kwa miamala..kipindi cha pili uhakika mtashinda tena nyingi tu.Daah! Sijui alikuwa anawaza wapi aisee.
Haya tumeyazowea huko 5imba ujue. Teh teh
Game hii na ya Jana ina utofauti gani?? Ushabiki maandazi bhana.Hii ndio maana Ahmedy Ally alisema tuna ligi dhaifu
Ila ushabiki na critisim za kijinga kwa kutaka kila kitu kupinga kuonekana mjuaji ndio kumesababisha wajinga wapewe kipaumbele zaidi kwasababu ya uhodari wao wa kutumia midomo kuliko kichwa.
Umetuma kwenye sanduku la maoni?Subiri uone. Atafanyia tu kazi.
Umeona statistics lakini?Ila huyu refa hana neno kwa miamala..kipindi cha pili uhakika mtashinda tena nyingi tu.
Goli nne zimeingia kambani afu zote za husling na hakukuwa na penati mchongo afu bado unataka kufanya comparison na huu utopolo?Game hii na ya Jana ina utofauti gani?? Ushabiki maandazi bhana.
Itakuwa GSM hajauza vilalio vya kutosha, anawaza mshahara hajalipwa 🤣🤣Daah! Sijui alikuwa anawaza wapi aisee.
Haya tumeyazowea huko 5imba ujue. Teh teh
Hiyo timu inaburuza mkianiUmeona statistics lakini?
Kiherehere kinakusumbuaNdio maana mi huwa siangalii mechi za Yanga. Mpira wa kusubiri goli tu bila burudani siwezi
Nenda kalale. 😂😂 Japo najua huwezzi.Ndio maana mi huwa siangalii mechi za Yanga. Mpira wa kusubiri goli tu bila burudani siwezi
Walifuata ushauri wa Manara kwamba Mayele atetemee baada ya kufunga, ila mganga wa prizoni sio mwema kafanya yake kwa Mayele 😂😂Ila Yanga bhana! Sasa kulikuwa na sababu gani ya kumpa Mayele kupiga ile penati, badala ya Juma Shabani!
Ifikie wakati timu iwe serious bhana! Hakuna ulazima wa Mayele kuwa mfungaji bora! Ila kuna umuhimu kwa Yanga kupata point 3 muhimu kwenye kila mechi kuanzia sasa.
ruvu anaburuza tako?Hiyo timu inaburuza mkiani
Nahisi labda ng'ombe wake anaumwa hajauza maziwa.🤣Goli nne zimeingia kambani afu zote za husling na hakukuwa na penati mchongo afu bado unataka kufanya comparison na huu utopolo?
Mechi ya leo naiangalia kama mwana therapy naye jifunza matatizo wanayopitia wachezaji wa Yanga.
Mayele leo sijui nyumbani tembele halija chemka au hajasaga yani sielewi sababu ya msingi kukosa magoli mawili ya wazi hususani ile penati ambayo alipobutua kimo chake ni kama Missile Launcher imefyatuliwa
Kufanya nini huyo dogo? kwani Saido kacheza vibaya wapi?Denis Nkane aingie upande wa saido
Wewe nawe kiazi cha Msimbazi mbona unaongea bila kufikiria? Simba imefika robo fainali kwa mastraika gani wa ajabu zaidi ya Kibu, Mugalu, Boko na Kagere na tegemezi wenu alikuwa Sakho.Eti hii timu ndio inajinasibu kucheza champions ligue..na huyo mviziaji wao..timu nzima inategemea mtu mmoja..si umeona hata penalti wanataka apige yeye..akiumwa je?