Yanga SC 0-0 Tanzania Prisons, Uwanja wa Mkapa, NBC Premier League

Yanga SC 0-0 Tanzania Prisons, Uwanja wa Mkapa, NBC Premier League

Unampiga mgonjwa na unaona kabisa kaingia na helment uwanjani

Ebu ngoja tuone busara za refa hapa
 
Wale mashabiki tuliowazoea kuwaona wakiwa wanatetema kwa dakika hizi, round hii hali imekuwa tofauti

Ukiwazingatia kwa kuangalia lips zao uta observe kuwa wanatoa lugha za matusi
 
Yanga wapumbavu sana wamekosa magoli 2 kisa kumtengea Mayele.
 
Mayele kapaza aiseee yani huwezi amini ndugu mtazamajinwa comments lakini habari ndiyo hiyo msela sijui kavaa dundo la namna gani yani yeye na kipa lakini kapaza
Sifa zimezidi ubora kwahiyo anataka kusawazisha
 
Mpira wa Yanga mbovu sana utafikiri ligi ya mbuzi.
 
Game plan FT Preson wamefaulu
 
Ila Yanga bhana! Sasa kulikuwa na sababu gani ya kumpa Mayele kupiga ile penati, badala ya Juma Shabani!

Ifikie wakati timu iwe serious bhana! Hakuna ulazima wa Mayele kuwa mfungaji bora! Ila kuna umuhimu kwa Yanga kupata point 3 muhimu kwenye kila mechi kuanzia sasa.
Hahaha,,,, Yan Hadi Leo ww mzee wa furaha za mitetemo unalaumu,, kweli Leo mmeshikwa kwenye mbupu!!
 
TAARIFA KWA UMMA.
Ndugu wananchi, katika kuunga mkono juhudi za UKRAINE kupambana na Russia, tumerusha kombora litakaloenda kumpiga PUTIN moja kwa moja.
Kombora hilo limerushwa na BRIGEDIA JENERALI FISTON KALALA MAYELE
 
Hii ndio maana Ahmedy Ally alisema tuna ligi dhaifu

Ila ushabiki na critisim za kijinga kwa kutaka kila kitu kupinga kuonekana mjuaji ndio kumesababisha wajinga wapewe kipaumbele zaidi kwasababu ya uhodari wao wa kutumia midomo kuliko kichwa.
 
Huu usumbufu anaokitana nao Yanga kumbuka oppoent anaye m-face ni prisons ambaye yuko nafasi ya 20
 
Back
Top Bottom