Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Acha kabisa Mtani. Mwili mdogo ila mapigo ya moyo sasa. 🤣 Yanaenda mbio mbaya. 🤣🤣🤣🤣Leo zamu yako mtani lazima presha tuipandishe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kabisa Mtani. Mwili mdogo ila mapigo ya moyo sasa. 🤣 Yanaenda mbio mbaya. 🤣🤣🤣🤣Leo zamu yako mtani lazima presha tuipandishe
Ni vyema Mayele awe anapiga penalty ili kuongeza magoli na kumpita George Mpole.Hii mechi tunashinda aseeh hapa hakijaharibika kitu
Lakini penalty djuma anaweza sana angepiga tu yeye
Na hili hatukulipanga kabisa Mtani.Mna nafasi kubwa ya kushinda wakitulia hapo mbele ya lango.
Hata hivyo bora tu wawang'ang'anie mchelewe kutangaza ubingwa
Ati wasikutane na Mito iliyoungana ya Nigeria 😂. Bora wakutane na hiyo lakini sio yale Ma AlAhlywasikutane tena ile mi-Rivers Utd.
🤣🤣Ni raha sana kufuatilia mechi za mtani wako ukitokea kutoa dozi ya uhakika.
ntazana ntazana kaa karibu na dada yako Shadeeya uandae kitambaa cha kupepelea 😂
Leo maji ya shingo🤣Ni raha sana kufuatilia mechi za mtani wako ukitokea kutoa dozi ya uhakika.
ntazana ntazana kaa karibu na dada yako Shadeeya uandae kitambaa cha kupepelea 😂
Kule champions league hawafahamu uchezaji wa Mayele, hivyo atawatesa mnoEti hii timu ndio inajinasibu kucheza champions ligue..na huyo mviziaji wao..timu nzima inategemea mtu mmoja..si umeona hata penalti wanataka apige yeye..akiumwa je?
Muache dada yangu
Usijali mtawafunga Barkane, Al ahly na akina Mamelody huko cafcl 😂😂Dah! Hii mechi benchi la ufundi wanafanya utani mpaka basi! Saido haeleweki anafanya nini uwanjani! Wapinzani wamepaki basi! Toa ingiza mshambuliaji wa kati wa kumsaidia Mayele!
Kumiliki mpira pasipo kufunga haina maana yoyote ile! Sasa tukiwakosa na hawa vibonde, tutamfunga nani!