Dam55
JF-Expert Member
- Oct 8, 2015
- 5,641
- 11,958
Kawapiga umeme madogo aiseKawapa penati au
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kawapiga umeme madogo aiseKawapa penati au
AiseeeehKawapiga umeme madogo aise
Amefanya nini mes wao maana ilikuwa kero treatment aliyokuwa akipewa kana kwamba yy angekuwa tiba ya yote kumbe Yale yaleSaidooo ndio kitu gani
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Haya Magazeti yanaitia ujinga kidimbwi kishenzi...
Suluhu lakini sio sami[emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji1550]Ngoja tuone watafanya nini. Yaani Ikitokea wakafungwa au wakatoa droo, sijui itakuwaje tu[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ubahili mpaka kwenye kuanzisha nyuziHivi ni kwa nini mashabiki wa Yanga hatuanzishagi nyuzi Timu yetu inapocheza ili tulio mbali na Radio na TV tutumie jukwaa hili kufuatilia Timu yetu!
Kwa nini tusubiri Hawa jamaa wa Champions League ya kibahatisha ndio watuanzishie !
By the way hivi kile kisomo Al BADRI kwa wabaya wetu ni lini ili tuwanyooshe!!
Huwa wanakimbilia kuanzisha nyuzi za mechi za simba ila zao wanakimbiaHivi ni kwa nini mashabiki wa Yanga hatuanzishagi nyuzi Timu yetu inapocheza ili tulio mbali na Radio na TV tutumie jukwaa hili kufuatilia Timu yetu!
Kwa nini tusubiri Hawa jamaa wa Champions League ya kibahatisha ndio watuanzishie !
By the way hivi kile kisomo Al BADRI kwa wabaya wetu ni lini ili tuwanyooshe!!