Yanga SC 2-1 Namungo FC | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium

Yanga SC 2-1 Namungo FC | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium

Yanga bwana mechi za kununua pia mnajisifu jana kama umeangalia mpira mchezaji aliyekuwa anacheza kwa kujituma ni kichuya hata yule lusajo jana alikuwa mlinzi wa yanga goal la kwanza mchezaji wa,

namungo kajiangusha maksudi mayele akafunga goal la pili mabeki wanauangalia mpira tu mpaka feisal anakuja kuupiga halafu mnajisifu karibuni kimataifa kama nyie kweli mnashinda kwa haki.
 
Yanga bwana mechi za kununua pia mnajisifu jana kama umeangalia mpira mchezaji aliyekuwa anacheza kwa kujituma ni kichuya hata yule lusajo jana alikuwa mlinzi wa yanga goal la kwanza mchezaji wa,

namungo kajiangusha maksudi mayele akafunga goal la pili mabeki wanauangalia mpira tu mpaka feisal anakuja kuupiga halafu mnajisifu karibuni kimataifa kama nyie kweli mnashinda kwa haki.
Kama kawaida yetu! Tulinunua pia mechi ya Ngao ya Jamii! Na tuna mechi nyingine ya kununua tarehe 30 ya mwezi huu!

Tangulieni mapema Takukuru! Maana hakuna namna. Msimu huu tunachukua ubingwa pasipo kupoteza hata mechi moja.
 
Kama kawaida yetu! Tulinunua pia mechi ya Ngao ya Jamii! Na tuna mechi nyingine ya kununua tarehe 30 ya mwezi huu!

Tanglieni mapema Takukuru! Maana hakuna namna. Msimu huu tunachukua ubingwa pasipo kupoteza hata mechi moja.
Mbona nyinyi kipindi mnaahidi milion 10 kwa team itakayoifunga simba ulisikia simba wakilalamika matokeo yake nyinyi ndo mkawahi kulalamika mkatishia kwenda ikulu kuonana na mama samia simba wameshaacha kulalamika sasa hivi hata wafanyiwe hujma.
 
Yanga bwana mechi za kununua pia mnajisifu jana kama umeangalia mpira mchezaji aliyekuwa anacheza kwa kujituma ni kichuya hata yule lusajo jana alikuwa mlinzi wa yanga goal la kwanza mchezaji wa,

namungo kajiangusha maksudi mayele akafunga goal la pili mabeki wanauangalia mpira tu mpaka feisal anakuja kuupiga halafu mnajisifu karibuni kimataifa kama nyie kweli mnashinda kwa haki.
Argument ya kijinga sana hii! Thibitisha kauli yako...
 
Back
Top Bottom