Wamekosea njia ya kutokea wamengia kwenye bus la yangaDiijeiii dijeiiii diiijeiiii tuletee friends of Namumgo....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamekosea njia ya kutokea wamengia kwenye bus la yangaDiijeiii dijeiiii diiijeiiii tuletee friends of Namumgo....
Sawa sheikh Yahaya tusubiriNa nyinyi mliotizama mechi ya leo na kuifuatilia hii thread, tar 30 kama kawa Man Mayele anatetema tena.
Muhimu point tatu na burudaniKama kawaida ya topolos ushindi huwa ni wa mbinde... 1-0, 2-1 wakibahatisha mara moja moja 2-0!!
Wewe ulivyo itabiri mechi ya kesho utakuwa sheikh nani au Sheikh Ubwabwa?Sawa sheikh Yahaya tusubiri
Yaani chiko na ushindi hamna wachezaji muleSema injinia hapa kwa Chiko Ushindi alitupiga na kitu kizito sana
Tumeanza furaha leo,tunaendelea kesho kwa ndugu zetu Orlando watakapopata ushindi mnono. Kisha trh 30 ni kilele cha furaha na mwanzo wa sherehe za ubingwaSijafurahia Huu Ushindi Kabisa Mpaka Orlando Pirates Wanitimizie Jambo Langu Kesho Af Tuje Tuwamalize Kabisa Tar 30.
KipoozeoWewe ulivyo itabiri mechi ya kesho utakuwa sheikh nani au Sheikh Ubwabwa?
Sawa Sheikh kipoozeo, msimu huu kinacho wauma viporo havipo na Yanga ipo vizuri na Man Mayele anazidi kutetema.Kipoozeo
Julio si jinga tu lile ona lilivyoaibika.Haya Simba majeshi yenu yotee ya kukodi yamepakuliwa!!! Sasa njooni wenyewe tuwapakate.
Point 3[emoji736]Kila muda kananijia ka rythm ka wimbo wa Nandy sisi ndio Yanga.[emoji445][emoji444]
Yanga raha sana. Nyieee
Lete idadi ya kufungwa na kufunga ya magoli ya Simba na Yanga hapa.Kama kawaida ya topolos ushindi huwa ni wa mbinde... 1-0, 2-1 wakibahatisha mara moja moja 2-0!!