Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UtooooopoooloTimu ya nchi inacheza Leo, Taifa lote limetulia hata Makolo kule waliko wanafuatilia mechi Huku wakisubiria kipondo Chao kutoka kwa Maharamia..
Yanga piga hao watoto wa Makolo.
Maharamia piga hizo kolo nasi tuziongezee Huku bongo tar 30
Angeingia Ngushi na Dennis Nkane, ingekuwa uhakika. Moloko ameshachoka! Chiko ushindi naye amepunguza kasi ya mashambulizi!Moloko ni mchezaji wa hovyo mechi nyingi anaboronga umuhimu wake ni asilimia chache mno.
Hata waongeze kumi hamna kitachobadilika.90' Zinaongezwa Dk 3
😁😁🍺🍺🍺Yanga 2 ✌️
Zamu yao tarehe 30Diijeiii dijeiiii diiijeiiii tuletee friends of Namumgo....
[emoji482][emoji482][emoji16][emoji16][emoji481][emoji481][emoji481]
Maneno ya mkosaji.Kama kawaida ya topolos ushindi huwa ni wa mbinde... 1-0, 2-1 wakibahatisha mara moja moja 2-0!!
watafanywa kama NamungoZamu yao tarehe 30