Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Kwanini ?Goli la Kichuya ni kali Sana, Ila halitoongelewa Sana kama ingekuwa limefungwa na Mayele au mchezaji wetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini ?Goli la Kichuya ni kali Sana, Ila halitoongelewa Sana kama ingekuwa limefungwa na Mayele au mchezaji wetu
Na mazingira ya draw tulipo kutana ilikuwajeTuliwa bust
Refa amehusika tukio moja tu lakini Line1 mbali ya sifa anazopewa na ubora Leo kathibitisha ubovu. Offside zisizokuwepo sijui yeye anazionaje.Refa kaamua kuwadhurumu Yanga dhahiri kabisa
Farid ni mpuuzi sana . Sehemu ya kupiga krosi anajivuta sana kufanya maamuzi. Anaganda mpaka anarudisha mpira nyuma. Angekua Saido pale angekua tayari na assistSure boy na Farid wako kwenye kiwango Bora sana leo
Arajiga sijawahi kumuelewa hata akichezesha Coast na KMC.Refa wa leo ni mbumbumbu
Ni kweli umekuwa deflected, kipa nae alikuwa kasogea mbele. Still ni goli zuri mkuuUzuri wake upo wapi wkati imepata bonge la dflection
emdelea kuwatakiaNawatakia Namungo ushindi.
Hii iahakuwa jambo la kawaida kufanyiwa Yanga hatsa ile match ya Geita Gold ilikuwa hivi hivi.Refa kapeta faulo ya wazi wazi
Ukiacha hilo, lakini Leo anaupiga mwingi sana.Farid ni mpuuzi sana . Sehemu ya kupiga krosi anajivuta sana kufanya maamuzi. Anaganda mpaka anarudisha mpira nyuma. Angekua Saido pale angekua tayari na assist
Jamaa Ana uwezo mdg mno.Arajiga sijawahi kumuelewa hata akichezesha Coast na KMC.
Tena huwa Ana acha wakati yanga anashambuliwa na goli linapatikana pitia uzembe huoHii iahakuwa jambo la kawaida kufanyiwa Yanga hatsa ile match ya Geita Gold ilikuwa hivi hivi.
Ni kama ambavyo wengine huwa wanaamua kuzidhurumu team zinazocheza ma sisi.Refa kaamua kuwadhurumu Yanga dhahiri kabisa
Hata kwenye radio zile shangwe hazichukui hata sekunde 10Goli la Kichuya ni kali Sana, Ila halitoongelewa Sana kama ingekuwa limefungwa na Mayele au mchezaji wetu
Tuliwa bust