Mzee Wa Kazi Chafu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2022
- 2,245
- 4,966
Sio Kweli Bhn [emoji1787]Anafungwa Namungu ila kuna watu puru zao ndio zinawasha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio Kweli Bhn [emoji1787]Anafungwa Namungu ila kuna watu puru zao ndio zinawasha.
Achana na huyu mjinga kapoteza funguo
Refa wa mchongo!Kabla ya goli la namungo kuna madhambi alifanyiwa mayele refa akapeta tu
Halafu hawa waamuzi wa pembeni nao sijui wamekula maharage ya wapi! Mchezaji hayuko offside, faster wananyoosha kibendera!Kabla ya goli la namungo kuna madhambi alifanyiwa mayele refa akapeta tu
Mpuuzi tuKabla ya goli la namungo kuna madhambi alifanyiwa mayele refa akapeta tu
Yaani mechi za yanga Zina figisu hadi sio powaHalafu hawa waamuzi wa pembeni nao sijui wamekula maharage ya wapi! Mchezaji hayuko offside, faster wananyoosha kibendera!
Hii siyo haki hata kidogo.
Kama ile ya ngao ya jamii.Game sold
Ikiwezekana kocha amfanyie sub mayele maana naona kama ni vita sasa ya Ukraine imehamia kwa mkapaMakolo wamewatuma Namungo kumvunja Mayele miguu
HAKUNA REFA HAPO. Kama hiyo Faulo ya Frank Magingi haistahili kadi ya njano basi hakuna haja ya refa kuwa na kadi.Mwamuzi anatakiwa kuwa fair! Hawa wachezaji wa Namungo wanacheza faulo hatarishi. Inavyo onekana wana maelekezo maalum kutoka kwa kocha wao Julio mbwatukaji.
Kichuya kafunga ... au?Hakuna wa kumfunga Young Africans