Yanga SC 3-0 Tabora United | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | 25.05.2024

Yanga SC 3-0 Tabora United | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | 25.05.2024

Leo ndio ile siku ya mabingwa wa nchi Yanga Afrika kukabidhiwa kombe la ubingwa wa ligi ya Nbc.
Ikumbukwe huu ni ubingwa wa 30 kwa Yanga Afrika...
Kuwa nami paka mwisho ili kujua kile kinachojili kuanzia shamrashamra za kulitembeza kombe kwenye viunga mbalimbali vya jiji la DareSalaam paka hapo saa kumi ambapo ndio mchezo huu utaanza..
Mechi saa ngapi wakuu?
 
Leo ndio ile siku ya mabingwa wa nchi Yanga Afrika kukabidhiwa kombe la ubingwa wa ligi ya Nbc.
Ikumbukwe huu ni ubingwa wa 30 kwa Yanga Afrika...
Kuwa nami paka mwisho ili kujua kile kinachojili kuanzia shamrashamra za kulitembeza kombe kwenye viunga mbalimbali vya jiji la DareSalaam paka hapo saa kumi ambapo ndio mchezo huu utaanza..
Shime tabora United azizi k asifunge 😅😅 pia msiruhusu kufungwa goli nyingi sanaa
 
Mwali ameshawasili lupaso kwa chopa
 

Attachments

  • 20240525_151256.jpg
    20240525_151256.jpg
    414.2 KB · Views: 2
Kikosi cha Yanga
 

Attachments

  • 20240525_154319.jpg
    20240525_154319.jpg
    550.4 KB · Views: 2
Timu zote zimeshaingia uwanjani kupasha misuli kabla yakuanza kwa kipute hiki
 
Yanga team nzuri sana kitu imekosa ni mashabiki
Sijawahi ona mashabiki wanaodeka duniani kama Yanga imagine hadi Sasa tiketi za 1000 sio sold out
Mi ni Yanga ila mashabiki wa Yanga Wana la kujifunza sana kwa Simba
Yanga ina wapiga kelele wazuri sana ila sio supporters. Kwenye support Simba wametuacha mbali sana sisi tunaweza midomo.
 
Leo ndio ile siku ya mabingwa wa nchi Yanga Afrika kukabidhiwa kombe la ubingwa wa ligi ya Nbc.
Ikumbukwe huu ni ubingwa wa 30 kwa Yanga Afrika...
Kuwa nami paka mwisho ili kujua kile kinachojili kuanzia shamrashamra za kulitembeza kombe kwenye viunga mbalimbali vya jiji la DareSalaam paka hapo saa kumi ambapo ndio mchezo huu utaanza..
Sawa..💚💛
 
Back
Top Bottom