Mechi saa ngapi wakuu?Leo ndio ile siku ya mabingwa wa nchi Yanga Afrika kukabidhiwa kombe la ubingwa wa ligi ya Nbc.
Ikumbukwe huu ni ubingwa wa 30 kwa Yanga Afrika...
Kuwa nami paka mwisho ili kujua kile kinachojili kuanzia shamrashamra za kulitembeza kombe kwenye viunga mbalimbali vya jiji la DareSalaam paka hapo saa kumi ambapo ndio mchezo huu utaanza..
Imeahirishwa!Mechi saa ngapi wakuu?
Shime tabora United azizi k asifunge 😅😅 pia msiruhusu kufungwa goli nyingi sanaaLeo ndio ile siku ya mabingwa wa nchi Yanga Afrika kukabidhiwa kombe la ubingwa wa ligi ya Nbc.
Ikumbukwe huu ni ubingwa wa 30 kwa Yanga Afrika...
Kuwa nami paka mwisho ili kujua kile kinachojili kuanzia shamrashamra za kulitembeza kombe kwenye viunga mbalimbali vya jiji la DareSalaam paka hapo saa kumi ambapo ndio mchezo huu utaanza..
Ngoja Ni jaribu kwa Mara ya kwanza niweke 1000k betting 😂😂😂Ushindi kwa yanga siku hizi sio story tena
Saa 10 kamiliMechi saa ngapi wakuu?
Mechi imeibiwaMechi saa ngapi wakuu?
Yanga ina wapiga kelele wazuri sana ila sio supporters. Kwenye support Simba wametuacha mbali sana sisi tunaweza midomo.Yanga team nzuri sana kitu imekosa ni mashabiki
Sijawahi ona mashabiki wanaodeka duniani kama Yanga imagine hadi Sasa tiketi za 1000 sio sold out
Mi ni Yanga ila mashabiki wa Yanga Wana la kujifunza sana kwa Simba
Sawa..💚💛Leo ndio ile siku ya mabingwa wa nchi Yanga Afrika kukabidhiwa kombe la ubingwa wa ligi ya Nbc.
Ikumbukwe huu ni ubingwa wa 30 kwa Yanga Afrika...
Kuwa nami paka mwisho ili kujua kile kinachojili kuanzia shamrashamra za kulitembeza kombe kwenye viunga mbalimbali vya jiji la DareSalaam paka hapo saa kumi ambapo ndio mchezo huu utaanza..
Sababu ya kubana.Pumzi imenibana baada ya kumuona Guede akiingia uwanjani😣
Guede ana moyo wanguSababu ya kubana.
Lucas akupenina Ndio utaelewaGuede ana moyo wangu
Umeanza ehPumzi imenibana baada ya kumuona Guede akiingia uwanjani😣
Ngoja niingie kilingine huyu guede kazi anayoNimefanyaje mimi😂