Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanayanga hatuna ushirikiano sijajua kwanini nimebakia peke yangu hapa na wadau wa simba wakati hii ni shuhuli yetu kabisamtoa mada ana ufala flani hivi wa kukimbilia kuanzisha nyuzi kuhusu mechi alafu anatokomea kusiko julikana, wanayanga pia mnajifanya mpo bize, nimechoka kuandika kwahelini.
Kwahiyo dodoma jiji ndio wanaoandaa mazingira kwa kusukuma wachezaji wa Yanga na kuzibia njia Mayele? Refa yupo sahihi faulo anaziona kote koteTushaanza kuandaa.mazingira
Ni makosa tu ya kibinadamurefa hizo faulo nyingi ni nyepesi sana, acha kuwadekeza utopolo
Huyu jamaa tangu abahatishe ile free kick moja basi ndo hadi leo utopolo bado wanaota [emoji28].22’ Saido Anapiga Free kick Nje ya 18 inaenda Nje
Bora useme wewe, wengine tukisema tunaitwa hatersHuyu jamaa tangu abahatishe ile free kick moja basi ndo hadi leo utopolo bado wanaota [emoji28].
Sent using Jamii Forums mobile app
Wawape na wengine wapige hizo free kicks, mtu kama feisal mbona anaweza kabisa?Bora useme wewe, wengine tukisema tunaitwa haters