Yanga SC na GSM Wanasajili, Simba SC na Mo Dewji wanafanya Mzaha

Yanga SC na GSM Wanasajili, Simba SC na Mo Dewji wanafanya Mzaha

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kama kumbe kigezo cha kusajili Mchezaji siku hizi ni kwanza ajue kupiga kanzu, nawaombeni mje mnisajili na mimi GENTAMYCINE kwani pamoja na huu uzee (ukongwe) wangu wa miaka 60 sasa huku mitaani katika ligi zetu huwa napiga mno mikanzu kuliko hata Sewakubwa wenu.

Halafu tukisema kuwa Yanga SC na GSM yao wameshatoka katika upuuzi na wamejipanga kweli kimashindano na wanaenda kuwa Mabingwa tena wa NBC Premier League kwa Msimu huu wa 2022 / 2023 mnanitukana na kukimbilia kusema mimi GENTAMYCINE ni mwana Yanga SC na siyo mwana Simba SC.

Tukutane mwisho wa ligi kuisha, ok?
 
mbona mnalalamika tena mlisema tatizo ni babra? Ila kwa ukubwa wa simba afrika lazima ujipange kusajili la sivyo uvunje mikataba kwa pesa ndefu tofauti na yanga wanaojitafuta kwenye sajili zao hazina dau kubwa la kuumiza benki yao.

Ila mbona huwashauri ndugu zako waliwezaje kusajili mfungaji mwenye mabao 21 tu kwa misimu mitano mfululizo?
 
mbona mnalalamika tena mlisema tatizo ni babra? Ila kwa ukubwa wa simba afrika lazima ujipange kusajili la sivyo uvunje mikataba kwa pesa ndefu tofauti na yanga wanaojitafuta kwenye sajili zao hazina dau kubwa la kuumiza benki yao
Ila mbona huwashauri ndugu zako waliwezaje kusajili mfungaji mwenye mabao 21 tu kwa misimu mitano mfululizo?
Kwahio tunashindana kusajiri wabovu eh!
 
Kama kumbe kigezo cha kusajili Mchezaji siku hizi ni kwanza ajue kupiga kanzu, nawaombeni mje mnisajili na mimi GENTAMYCINE kwani pamoja na huu uzee (ukongwe) wangu wa miaka 60 sasa huku mitaani katika ligi zetu huwa napiga mno mikanzu kuliko hata Sewakubwa wenu.

Halafu tukisema kuwa Yanga SC na GSM yao wameshatoka katika upuuzi na wamejipanga kweli kimashindano na wanaenda kuwa Mabingwa tena wa NBC Premier League kwa Msimu huu wa 2022 / 2023 mnanitukana na kukimbilia kusema mimi GENTAMYCINE ni mwana Yanga SC na siyo mwana Simba SC.

Tukutane mwisho wa ligi kuisha, ok?
Mo anataka Simba ifanye vibaya ili umuhimu wake uonekane na aabudiwe, kwa hali ilivyo Mo alishaimwaga Simba SC, kwenye makundi tusubiri aibu, inabidi aishushe tu maana mnataka kuchukua matunda bila kulima Shamba, tunatajwa kwenye ulegend wa super league, tupo no 12 Africa, Simba SC imefanya Tanzania iheshimike nyie mnaona Mo sio kitu, kazi Barbara hamuiona katika jicho kubwa kimataifa na connection zake.

Simba SC itarudi matopeni
 
Kama kumbe kigezo cha kusajili Mchezaji siku hizi ni kwanza ajue kupiga kanzu, nawaombeni mje mnisajili na mimi GENTAMYCINE kwani pamoja na huu uzee (ukongwe) wangu wa miaka 60 sasa huku mitaani katika ligi zetu huwa napiga mno mikanzu kuliko hata Sewakubwa wenu.

Halafu tukisema kuwa Yanga SC na GSM yao wameshatoka katika upuuzi na wamejipanga kweli kimashindano na wanaenda kuwa Mabingwa tena wa NBC Premier League kwa Msimu huu wa 2022 / 2023 mnanitukana na kukimbilia kusema mimi GENTAMYCINE ni mwana Yanga SC na siyo mwana Simba SC.

Tukutane mwisho wa ligi kuisha, ok?
Sasa kwani lazima wabebe ubingwa simba tu kila mwaka?wewe umeonà wapi? Huo ndio upopoma sasa
 
Kama kumbe kigezo cha kusajili Mchezaji siku hizi ni kwanza ajue kupiga kanzu, nawaombeni mje mnisajili na mimi GENTAMYCINE kwani pamoja na huu uzee (ukongwe) wangu wa miaka 60 sasa huku mitaani katika ligi zetu huwa napiga mno mikanzu kuliko hata Sewakubwa wenu.

Halafu tukisema kuwa Yanga SC na GSM yao wameshatoka katika upuuzi na wamejipanga kweli kimashindano na wanaenda kuwa Mabingwa tena wa NBC Premier League kwa Msimu huu wa 2022 / 2023 mnanitukana na kukimbilia kusema mimi GENTAMYCINE ni mwana Yanga SC na siyo mwana Simba SC.

Tukutane mwisho wa ligi kuisha, ok?
Kwa hiyo bro mkata umeme Sawadogo haumkubali?
 
Kama kumbe kigezo cha kusajili Mchezaji siku hizi ni kwanza ajue kupiga kanzu, nawaombeni mje mnisajili na mimi GENTAMYCINE kwani pamoja na huu uzee (ukongwe) wangu wa miaka 60 sasa huku mitaani katika ligi zetu huwa napiga mno mikanzu kuliko hata Sewakubwa wenu.

Halafu tukisema kuwa Yanga SC na GSM yao wameshatoka katika upuuzi na wamejipanga kweli kimashindano na wanaenda kuwa Mabingwa tena wa NBC Premier League kwa Msimu huu wa 2022 / 2023 mnanitukana na kukimbilia kusema mimi GENTAMYCINE ni mwana Yanga SC na siyo mwana Simba SC.

Tukutane mwisho wa ligi kuisha, ok?
mwenyekiti wa chama cha wapumbvu,unavyojiona unajua kumbe uzwazwa umekujaa,ulimtaka Ngolo kante?kaa pembeni kwa faida gani wewe utayoipa Simba,huna na hujawah kuwa la maana la kusikilizwa
 
Wewe kilaza yani huwa unanishangaza sana! Naona unajiuliza halafu unajijibu mwenyewe...Embu sema hiyo hatua waliopiga GSM na yanga mbovu ni ipi acha kujiongelesha kama mwehu au unamaruhani kichwani nini...Kiazi wewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwann usitumie lugha nzuri ya kimichezo kuelezea ubora wa sajili za Simba Sc huku ukimpa mifano ili aelewe?

Lugha za kuudhi za nini wakati mwenzako ametumia lugha ya kimichezo? Kwako wewe unavyoziangalia hizo timu ipi imejengwa kitimu zaidi?

Ndio tunataniana lkn isiwe kila muda kila saa, kila wakati una mshambulia mtu kuliko kudeal na ishu aliyoileta mezani.
 
Kama kumbe kigezo cha kusajili Mchezaji siku hizi ni kwanza ajue kupiga kanzu, nawaombeni mje mnisajili na mimi GENTAMYCINE kwani pamoja na huu uzee (ukongwe) wangu wa miaka 60 sasa huku mitaani katika ligi zetu huwa napiga mno mikanzu kuliko hata Sewakubwa wenu.

Halafu tukisema kuwa Yanga SC na GSM yao wameshatoka katika upuuzi na wamejipanga kweli kimashindano na wanaenda kuwa Mabingwa tena wa NBC Premier League kwa Msimu huu wa 2022 / 2023 mnanitukana na kukimbilia kusema mimi GENTAMYCINE ni mwana Yanga SC na siyo mwana Simba SC.

Tukutane mwisho wa ligi kuisha, ok?
Sewakubwa ndio usajili aliosema bwana jaribu tena kuwa utasimamisha nchi🤣🤣 Waulize wamemsajili kwa bei gani wakikujibu nirudie, na bado mwingine Mkongo na yeye mmepewa bure kwa mkopo, kwa akili tu za kawaida akunatimu itakupa mchezaji wake mzuri kwa mkopo ukiona ivyo ujue hilo ni galasa wanatafuta namna ya kuachana nae kijanja asije kuwagharimu kwenye masuala ya kuvunja mikataba, Sasa timu inayojinasibu ni kubwa na inautaka ubingwa wa afrika ndio inakuwa dampo la wachezaji wa aina iyo inachekesha kweli, Yanga iliwagharimu kwa kambole, kisinda, bigirimana awawezi kurudia upuuzi huo ndio maana wanavunja mikataba ya wachezaji wanaowataka na kuwashusha jangwani, Uyo musonda ni mtu na nusu, bado beki la kati timu ya taifa ya Mali inayocheza CHAN kwa sasa na nahodha pia yuko njiani ndio maana ya timu inayotaka mafanikio na sio kuokota reject za bure alafu unataka utoboe ni ngumu labda ufanye kama unabet mchezo wa kubahatisha
 
Kwann usitumie lugha nzuri ya kimichezo kuelezea ubora wa sajili za Simba Sc huku ukimpa mifano ili aelewe?

Lugha za kuudhi za nini wakati mwenzako ametumia lugha ya kimichezo? Kwako wewe unavyoziangalia hizo timu ipi imejengwa kitimu zaidi?

Ndio tunataniana lkn isiwe kila muda kila saa, kila wakati una mshambulia mtu kuliko kudeal na ishu aliyoileta mezani.
Mimi sio kama nahitaji la malumbano hapa..Nimeuliza ni hatua zipi walizopiga yanga mbovu na GSM kama mfadhili wao hadi kufikia hapo waliposasa kwa kipindi cha miaka mitatu iliyopita zaidi ya hapo...Sema kama huyu bwege mwenzio amekuajiri kama special assistant wake, Kwa maana hadi kumjibia mtu ni kazi now days🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom