Yanga SC na GSM Wanasajili, Simba SC na Mo Dewji wanafanya Mzaha

Yanga SC na GSM Wanasajili, Simba SC na Mo Dewji wanafanya Mzaha

Mimi sio kama kuhitaji la malumbano hapa..Nimeuliza ni hatua zipi walizopiga yanga mbovu na GSM kama mfadhili wao hadi kufikia hapo waliposasa kwa kipindi cha miaka mitatu iliyopita zaidi ya hapo...Sema kama huyu bwege mwenzio amekuajiri kama special assistant wake, Kwa maana hadi kumjibia mtu ni kazi now days[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
We huoni Yanga imeimprove ukilinganisha na Simba? Hata ukiangalia takwimu utaona Yanga imefanya Sajili za maana ukilinganisha na Simba kaka.

Yanga pamoja na kuwa na mshambuliaji hatari lkn wameona waongeze nwingine ili kama itatokea majeraha kwa mmoja basi mmoja ataisaidia, hali hiyo iko kwenye kila namba kwa ile timu.
 
We huoni Yanga imeimprove ukilinganisha na Simba? Hata ukiangalia takwimu utaona Yanga imefanya Sajili za maana ukilinganisha na Simba kaka.

Yanga pamoja na kuwa na mshambuliaji hatari lkn wameona waongeze nwingine ili kama itatokea majeraha kwa mmoja basi mmoja ataisaidia, hali hiyo iko kwenye kila namba kwa ile timu.
Ndio maana huna mnajibiwa hovyo,kwamba UTO amfundishe SIMBA LIPI na WAPI,bahati mbaya tu mbelemwikonyumamwiko hujisifu kwa vitu vidogovidogo ndio maana hata sasa kuna gap kubwa,wakati waliojipanga wapo DUBAI wazee wa bahasha wapo na mbuni fc,SIMBA NI KUBWA AFRIKA
 
Ndio maana huna mnajibiwa hovyo,kwamba UTO amfundishe SIMBA LIPI na WAPI,bahati mbaya tu mbelemwikonyumamwiko hujisifu kwa vitu vidogovidogo ndio maana hata sasa kuna gap kubwa,wakati waliojipanga wapo DUBAI wazee wa bahasha wapo na mbuni fc,SIMBA NI KUBWA AFRIKA
Tupe takwimu za game 10 za mwisho mlivyokutana, tupe takwimu za misimu 10 nani amechukua makombe mengi.
 
We huoni Yanga imeimprove ukilinganisha na Simba? Hata ukiangalia takwimu utaona Yanga imefanya Sajili za maana ukilinganisha na Simba kaka.

Yanga pamoja na kuwa na mshambuliaji hatari lkn wameona waongeze nwingine ili kama itatokea majeraha kwa mmoja basi mmoja ataisaidia, hali hiyo iko kwenye kila namba kwa ile timu.
hata ukiangalia takwimu kama ubanwa na mlango!SIMBA NDIO TIMU PEKEE KWA SASA YENYE SAFU KALI YA USHAMBULIAJI NA UZUIAJI,alafu usajili mdogo huwa ni kuongezea tu,wachezaji 3 wanatosha,
 
mbona mnalalamika tena mlisema tatizo ni babra? Ila kwa ukubwa wa simba afrika lazima ujipange kusajili la sivyo uvunje mikataba kwa pesa ndefu tofauti na yanga wanaojitafuta kwenye sajili zao hazina dau kubwa la kuumiza benki yao
Ila mbona huwashauri ndugu zako waliwezaje kusajili mfungaji mwenye mabao 21 tu kwa misimu mitano mfululizo?
Umeandika pointi nzuri sana hapa, natamani warudie kukusoma mara 1000 ili wajue mambo ya usajili sio mepesi kama mihemko ya kuanzisha uzi JF.

Ukitaka kizuri toa pesa, uwe tayari kushindana na Al Ahly, Mamelodi, na waarabu wengine...
 
We huoni Yanga imeimprove ukilinganisha na Simba? Hata ukiangalia takwimu utaona Yanga imefanya Sajili za maana ukilinganisha na Simba kaka.

Yanga pamoja na kuwa na mshambuliaji hatari lkn wameona waongeze nwingine ili kama itatokea majeraha kwa mmoja basi mmoja ataisaidia, hali hiyo iko kwenye kila namba kwa ile timu.
Naona unajifunza kuongea kupitia replying of my comments hivi unajiskia vizuri kweli unavyosound ni kama yangainajuasanasimbabadotunawafundishampira...Acha kujiaibisha bwege wewe!
 
Mo anataka Simba ifanye vibaya ili umuhimu wake uonekane na aabudiwe, kwa hali ilivyo Mo alishaimwaga Simba SC, kwenye makundi tusubiri aibu, inabidi aishushe tu maana mnataka kuchukua matunda bila kulima Shamba, tunatajwa kwenye ulegend wa super league, tupo no 12 Africa, Simba SC imefanya Tanzania iheshimike nyie mnaona Mo sio kitu, kazi Barbara hamuiona katika jicho kubwa kimataifa na connection zake.

Simba SC itarudi matopeni
Hizi ulizoandika hapa ni hisia tu...
 
Tupe takwimu za game 10 za mwisho mlivyokutana, tupe takwimu za misimu 10 nani amechukua makombe mengi.
achana makombe huko tutaishia hapa hapa,moja linakutosha,pamoja na kuwezeshwa na MANJI,ROSTAM,JK NA HATA sasa JIESIEM timu hii ya UTOPOLO HAIJAWAHI KUINGIA MAKUNDI KLABU BINGWA AFRIKA TOKA 1998
 
Mo anataka Simba ifanye vibaya ili umuhimu wake uonekane na aabudiwe, kwa hali ilivyo Mo alishaimwaga Simba SC, kwenye makundi tusubiri aibu, inabidi aishushe tu maana mnataka kuchukua matunda bila kulima Shamba, tunatajwa kwenye ulegend wa super league, tupo no 12 Africa, Simba SC imefanya Tanzania iheshimike nyie mnaona Mo sio kitu, kazi Barbara hamuiona katika jicho kubwa kimataifa na connection zake.

Simba SC itarudi matopeni
Mo hawezi kuitakia Simba ifanye vibaya kwasababu bado ni sehemu ya Simba hajajitoa kama mwekezaji wa Simba. Na kipindi hiki anajua ndio kipindi cha mavuno kama Simba watafanya vizuri klabu bingwa hivyo ni lazima ukaribu utaongezeka mara dufu ili avune ela za klabu bingwa
 
Sewakubwa ndio usajili aliosema bwana jaribu tena kuwa utasimamisha nchi🤣🤣 Waulize wamemsajili kwa bei gani wakikujibu nirudie, na bado mwingine Mkongo na yeye mmepewa bure kwa mkopo, kwa akili tu za kawaida akunatimu itakupa mchezaji wake mzuri kwa mkopo ukiona ivyo ujue hilo ni galasa wanatafuta namna ya kuachana nae kijanja asije kuwagharimu kwenye masuala ya kuvunja mikataba, Sasa timu inayojinasibu ni kubwa na inautaka ubingwa wa afrika ndio inakuwa dampo la wachezaji wa aina iyo inachekesha kweli, Yanga iliwagharimu kwa kambole, kisinda, bigirimana awawezi kurudia upuuzi huo ndio maana wanavunja mikataba ya wachezaji wanaowataka na kuwashusha jangwani, Uyo musonda ni mtu na nusu, bado beki la kati timu ya taifa ya Mali inayocheza CHAN kwa sasa na nahodha pia yuko njiani ndio maana ya timu inayotaka mafanikio na sio kuokota reject za bure alafu unataka utoboe ni ngumu labda ufanye kama unabet mchezo wa kubahatisha
Wakati mnasajili kina Yikpe ilikuwa hujazaliwa
 
Kila jambo lina muda wake hao kina yikpe ndio wanaanza kuwarudia mchawi ni pesa tu kama auna utawasajili sana kina yikpe ndio kama kina sawadogo
Maana unasema nyie mlishaachana na sajilinza hovyo nilitaka nikukumbushe lini mlianza kusajili wachezaji wa hovyo maana mlianza muda mrefu na mpaka Sasa mnaendelea Kila msimu au umesahau kina chico ushindi na mchezaji wenu wa Newcastle
 
Maana unasema nyie mlishaachana na sajilinza hovyo nilitaka nikukumbushe lini mlianza kusajili wachezaji wa hovyo maana mlianza muda mrefu na mpaka Sasa mnaendelea Kila msimu au umesahau kina chico ushindi na mchezaji wenu wa Newcastle
Taja wachezaji waliosajiliwa kuanzia msimu ulioisha 2021-2022 na 2022-2023 orodhesha wachezaji wangapi wa yanga wamefanya vizuri na uorodheshe wa simba waliosajiliwa na wakafanya vizuri ili tupate takwimu sahihi ya nani alisajili vizuri na nani aliangukia pua
 
Viongozi wameshatugeuza mapopoma wapenzi wa Simba, hivyo wanajua hatuwafanyi chochote.
Tuendelee kusindikiza ligi hatuna namna
Tusikate tamaa, ligi bado MBICHI hii.
LAA taknatuu min rahmatilah.
 
Ndio maana huna mnajibiwa hovyo,kwamba UTO amfundishe SIMBA LIPI na WAPI,bahati mbaya tu mbelemwikonyumamwiko hujisifu kwa vitu vidogovidogo ndio maana hata sasa kuna gap kubwa,wakati waliojipanga wapo DUBAI wazee wa bahasha wapo na mbuni fc,SIMBA NI KUBWA AFRIKA
Maoni ya kipuuzi kama haya ukute yanatoka Kwa Kiongozi wa Timu!
 
We huoni Yanga imeimprove ukilinganisha na Simba? Hata ukiangalia takwimu utaona Yanga imefanya Sajili za maana ukilinganisha na Simba kaka.

Yanga pamoja na kuwa na mshambuliaji hatari lkn wameona waongeze nwingine ili kama itatokea majeraha kwa mmoja basi mmoja ataisaidia, hali hiyo iko kwenye kila namba kwa ile timu.
Yanga imeimprove na ni bingwa wa Tanzania lakini anacheza confederation Cup,Simba siyo Bingwa na haja improve lakini anacheza CL,si bora sasa kuto improve kama scenario yenyewe ndiyo hii.
 
Maoni ya kipuuzi kama haya ukute yanatoka Kwa Kiongozi wa Timu!
Weka akiba ya maneno,sio kila mtu anaibuka kutoka huko aliko na kuanza kudharau,hivi jiulize Kwa akili ya kawaida kwamba hakuna kiongozi WA Simba anayetaka Simba isifanikiwe?alafu Mambo ya usajili mtu WA mtaani Tu unatoka na kusema sio mchezaji nzuri hajui,sijui vitu vingi ambavyo ukimuuliza hawezi kujibu hao ndio WA kuchapa viboko na maneno makali
 
Back
Top Bottom