pri
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 826
- 666
Bor
Bora umwambie huyo asiyejitambua,Shida moja Uto kumuotea otea Simba basi wanajiona timu Yao ni Kali,kumbe mashindano ya Afrika yamewaumbua.Yanga imeimprove na ni bingwa wa Tanzania lakini anacheza confederation Cup,Simba siyo Bingwa na haja improve lakini anacheza CL,si bora sasa kuto improve kama scenario yenyewe ndiyo hii.