kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,184
- 9,407
Pumba tupu sisi makolo hstujielewiMorocco alieishia nusu final WC na Senegal bingwa wa AFcon yupi yupo juu hapo kimafanikio kisoka ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pumba tupu sisi makolo hstujielewiMorocco alieishia nusu final WC na Senegal bingwa wa AFcon yupi yupo juu hapo kimafanikio kisoka ?
Ni bingwa zaidi ya mara 20 lakini bado mkawa omba omba kama vile ni timu iliyopanda daraja. Ni ubingwa wa kujivunia huo kweli uto? Hakika uto ni utopolo..Pumba tupu sisi makolo hstujielewi
Sajili zipi????hizo za maana unazosema?We huoni Yanga imeimprove ukilinganisha na Simba? Hata ukiangalia takwimu utaona Yanga imefanya Sajili za maana ukilinganisha na Simba kaka.
Yanga pamoja na kuwa na mshambuliaji hatari lkn wameona waongeze nwingine ili kama itatokea majeraha kwa mmoja basi mmoja ataisaidia, hali hiyo iko kwenye kila namba kwa ile timu.
Huna unalo elewa labda umri au thinking capacity yako ni ndogo unalinganisha timu yenye trophy na iliyosogea kwenye tournament!Morocco alieishia nusu final WC na Senegal bingwa wa AFcon yupi yupo juu hapo kimafanikio kisoka ?
Nimesoma post yako nimesikitika sana. Unajisifia utajiri wa timu kwa kudai Rais Mstaafu bado ana nguvu ya kisiasa halafu mnasema mnaendeshwa kisasa?Unaongea nini wewe?!
Yanga ndo inaongoza kwa kutumia gharama kubwa kusajili na kulipa mshahara mkubwa. Azizi Ki tulimnunua kwa kuvunja mkataba na kuilipa klabu yake ya zamani ya ASEC Mimosas. Tulimnunua kwa Tshs. milioni 480, na tunamlipa mshahara wa Tshs. milioni 27 kwa mwezi. Ndo mchezaji wa gharama kuliko wachezaji wote waliopata kusajiliwa na vilabu vya Afrika Mashariki. Na ndo mchezaji anayelipwa mshahara mkubwa kuliko wachezaji wote waliopata kucheza Afrika Mashariki.
Kutokana na Kikwete kurudi madarakani, na wenye roho mbaya kuondoka madarakani, Yanga sasa hivi iko vizuri sana kiuchumi. Ndo kilabu inayoongoza kwa ukwasi nchini Tanzania. Kabla hujataja Azam FC, kumbuka kuwa utajiri wa Bakhressa Group sio wote unatumika kwa ajili ya Azam FC. Na usiulize kwanini Yanga ndo inaongoza kwa ukwasi... we jua tu kwamba Dr. Kikwete amerudi madarakani, Dr. Mwigulu ndo waziri wa fedha, na Dr. Mpango ndo makamu wa Rais. Hao wote ni wanaYanga wa kindakindaki. Hata Mama nasikia ni mwananchi pia. Ila tofauti yetu na wale walioondoka madarakani ni kwamba sisi hatuikandamizi Simba kiuchumi. Tunawaacha mpambane na hali yenu.
Kuhusu kupenda kitonga nyinyi Simba ndo wapenda kitonga. Hamjawahi kuvunja mkataba hata mmoja wa mchezaji kutoka klabu ya maana. Huwa mnasubiri mkono uanguke muuokote. Hela hamna za kufanya kufuru kama tuliyofanya ya kumsajili Aziz Ki.
Kuanzia zawadi ya pesa na kukuza soko Kwa wachezaji , nafasi ya nne WC huwezi kufananisha na bingwa AFcon. Kila hatua ya mashindano makubwa ni mafanikio.Okay Morocco ni bora kuliko Senegal mwenye kombe la Africa?
Kwa hiyo trophy ya mapinduzi ni bora kuliko kushika nafasi ya nne ligi kuu NBC? Sio kila trophy ni bora kuliko kuishia hatua Fulani ya mashindano makubwa. Hakuna timu pale EPL itaweka kipaumbele Kuchukua Carabao cup kuliko kuingia top four. Nafasi ya nne world cup anamzidi kila Kitu kuanzia zawadi huyo bingwa wa AFcon. Kilaza umeelewa au niendelee kukupa somo?Huna unalo elewa labda umri au thinking capacity yako ni ndogo unalinganisha timu yenye trophy na iliyosogea kwenye tournament!
Tangu ulivoletaga habari za kutambua nia ya kumsajili Dejan kabla ya mtu yeyote sikubishiagi tena. Ni kweli kwa rekodi ya huyu mchezaji nahisi tumepigwa tena, 2017 RC De Kadiogo, 2018 hakuwa timu,2019 hakuwa na timu, 1/08/2019 Al Arabi Kuwait,01/01/20 hakuwa nan timu,18/11/20 Enippi na 14/11/21 kote huko haijwahi kujulikana alikuwa anauzwa ama kununuliwa kwa kiasi gani.Kama kumbe kigezo cha kusajili Mchezaji siku hizi ni kwanza ajue kupiga kanzu, nawaombeni mje mnisajili na mimi GENTAMYCINE kwani pamoja na huu uzee (ukongwe) wangu wa miaka 60 sasa huku mitaani katika ligi zetu huwa napiga mno mikanzu kuliko hata Sewakubwa wenu.
Halafu tukisema kuwa Yanga SC na GSM yao wameshatoka katika upuuzi na wamejipanga kweli kimashindano na wanaenda kuwa Mabingwa tena wa NBC Premier League kwa Msimu huu wa 2022 / 2023 mnanitukana na kukimbilia kusema mimi GENTAMYCINE ni mwana Yanga SC na siyo mwana Simba SC.
Tukutane mwisho wa ligi kuisha, ok?
Uko sahihi popoma[emoji106]Kama kumbe kigezo cha kusajili Mchezaji siku hizi ni kwanza ajue kupiga kanzu, nawaombeni mje mnisajili na mimi GENTAMYCINE kwani pamoja na huu uzee (ukongwe) wangu wa miaka 60 sasa huku mitaani katika ligi zetu huwa napiga mno mikanzu kuliko hata Sewakubwa wenu.
Halafu tukisema kuwa Yanga SC na GSM yao wameshatoka katika upuuzi na wamejipanga kweli kimashindano na wanaenda kuwa Mabingwa tena wa NBC Premier League kwa Msimu huu wa 2022 / 2023 mnanitukana na kukimbilia kusema mimi GENTAMYCINE ni mwana Yanga SC na siyo mwana Simba SC.
Tukutane mwisho wa ligi kuisha, ok?
Sijapinga hata kidogo usajili wa Sawadogo. Lakini Mimi si muumini wa lugha chafu uliyotumia. Mtu akitoa maoni yake unaona ugumu gani kumjibu Kwa lugha sahihi badala ya kashfa?Weka akiba ya maneno,sio kila mtu anaibuka kutoka huko aliko na kuanza kudharau,hivi jiulize Kwa akili ya kawaida kwamba hakuna kiongozi WA Simba anayetaka Simba isifanikiwe?alafu Mambo ya usajili mtu WA mtaani Tu unatoka na kusema sio mchezaji nzuri hajui,sijui vitu vingi ambavyo ukimuuliza hawezi kujibu hao ndio WA kuchapa viboko na maneno makali
Haya makombe ya bongo tumewapoka yanawauma sana mikia! Hivi tuseme ukweli Nani hakuona Al Hilal walijiangusha kwa dakika 90 Yanga hatukuweza kucheza boli. Ile mechi ingekuwa ni Qatar world cup Kila kipindi zingeongezwa dakika 30. Unawezaje kumfunga mtu ambae hataki mcheze?Uto ni timu ya kawaida tu takwimu ziko wazi. Hakuna timu ya maana ingetolewa na wale Al hilal.Kwenye group lenu la shirikisho uto ndio underdog huo ndio ukweli. Mnachojivunia hakipo maana ubingwa wa NBC sio ubingwa wa kukupa ukubwa barani Afrika.
Kwamba walijiangusha, hakika utopolo ni utopolo.Haya makombe ya bongo tumewapoka yanawauma sana mikia! Hivi tuseme ukweli Nani hakuona Al Hilal walijiangusha kwa dakika 90 Yanga hatukuweza kucheza boli. Ile mechi ingekuwa ni Qatar world cup Kila kipindi zingeongezwa dakika 30. Unawezaje kumfunga mtu ambae hataki mcheze?
We jamaa hujitambui!
Ukweli uko wazi Kila mtu anaona this is the time of rise of Yanga and fall of Simba! Simba ni paka tu for now! Endeleeni kuwaza Yanga ni underdog ila mtatukuta kuleee tushafika!!
Sijasoma sana gazeti lako ila tafuta wajinga wenzako kwenye vijiwe vya gahawa uwadanganyeUnaongea nini wewe?!
Yanga ndo inaongoza kwa kutumia gharama kubwa kusajili na kulipa mshahara mkubwa. Azizi Ki tulimnunua kwa kuvunja mkataba na kuilipa klabu yake ya zamani ya ASEC Mimosas. Tulimnunua kwa Tshs. milioni 480, na tunamlipa mshahara wa Tshs. milioni 27 kwa mwezi. Ndo mchezaji wa gharama kuliko wachezaji wote waliopata kusajiliwa na vilabu vya Afrika Mashariki. Na ndo mchezaji anayelipwa mshahara mkubwa kuliko wachezaji wote waliopata kucheza Afrika Mashariki.
Kutokana na Kikwete kurudi madarakani, na wenye roho mbaya kuondoka madarakani, Yanga sasa hivi iko vizuri sana kiuchumi. Ndo kilabu inayoongoza kwa ukwasi nchini Tanzania. Kabla hujataja Azam FC, kumbuka kuwa utajiri wa Bakhressa Group sio wote unatumika kwa ajili ya Azam FC. Na usiulize kwanini Yanga ndo inaongoza kwa ukwasi... we jua tu kwamba Dr. Kikwete amerudi madarakani, Dr. Mwigulu ndo waziri wa fedha, na Dr. Mpango ndo makamu wa Rais. Hao wote ni wanaYanga wa kindakindaki. Hata Mama nasikia ni mwananchi pia. Ila tofauti yetu na wale walioondoka madarakani ni kwamba sisi hatuikandamizi Simba kiuchumi. Tunawaacha mpambane na hali yenu.
Kuhusu kupenda kitonga nyinyi Simba ndo wapenda kitonga. Hamjawahi kuvunja mkataba hata mmoja wa mchezaji kutoka klabu ya maana. Huwa mnasubiri mkono uanguke muuokote. Hela hamna za kufanya kufuru kama tuliyofanya ya kumsajili Aziz Ki.
Tahira huyo akadanganywe hoya hoya wenzake kwenye gahawaNimesoma post yako nimesikitika sana. Unajisifia utajiri wa timu kwa kudai Rais Mstaafu bado ana nguvu ya kisiasa halafu mnasema mnaendeshwa kisasa?
Thamani ya timu inapimwa na mali, kiasi cha uwekezaji na mikataba ambayo timu inayo na siyo madai ya kuwa mwanasiasa fulani ni mwanachama wenu.
Kwa mentality hii ndiyo mnataka mjilinganishe na Simba?
hiyo stahiki ya watu wasiofikiri,na kwa kugombezwa huwasaidia kuchangamsha bongo zilizolala ya kwako,fikiri mara nne hujaandika na hiyo ndiyo kanuniSijapinga hata kidogo usajili wa Sawadogo. Lakini Mimi si muumini wa lugha chafu uliyotumia. Mtu akitoa maoni yake unaona ugumu gani kumjibu Kwa lugha sahihi badala ya kashfa?
Sasa hujasoma umejuaje kama ni uongo?Sijasoma sana gazeti lako ila tafuta wajinga wenzako kwenye vijiwe vya gahawa uwadanganye
Wewe endelea kubaki na maarifa ya vitabuni. Tuko Tanzania, hatuko kwenye nchi ambazo hisa zinauzika. We kanunue hisa DSE halafu jaribu kuziuza ndo utajua kwamba maarifa ya vitabuni kuhusu utajiri wa taasisi kwa hapa Bongo yana mipaka yake.Nimesoma post yako nimesikitika sana. Unajisifia utajiri wa timu kwa kudai Rais Mstaafu bado ana nguvu ya kisiasa halafu mnasema mnaendeshwa kisasa?
Thamani ya timu inapimwa na mali, kiasi cha uwekezaji na mikataba ambayo timu inayo na siyo madai ya kuwa mwanasiasa fulani ni mwanachama wenu.
Kwa mentality hii ndiyo mnataka mjilinganishe na Simba?
Nah,unajaribu kuzunguka penye hapahitaji kutoa majibu yenye maneno mengi.Umesema Yanga ime improve vs Simba,na mimi nakuuliza kama ku improve ndiyo huko kwa Yanga Vs Simba kipi ni bora hapo? Improve uwe Bingwa uishie kucheza CC or usi improve na siyo bingwa na ucheze CL?CHELSEA alishinda UEFA mbele ya TIMU BORA KABISA, BAYERN 2012 na MAN CITY MWAKA 2021.
Hapo unataka kusema nini? Timu bora haifungwi? Kwako wewe kama ingekuwa Simba na Yanga wamepangwa wakutane mtoano ili mmoja aende makundi unahisi nani angepewa nafasi ya kusonga mbele?
Hata hivyo njia za kufikia makundi ni tofauti, huwezi sema huyu ameshindwa na huyu ameshinda kwa kulinganisha game 2, na wapinzani tofauti.