pri
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 826
- 666
Ujinga ni kudharau waliofanikiwa,inaonekana umri wako na Utopolo kukosa kuingia makundi CC ni sawaNyie mlioingia makundi mmeshinda makombe mangapi mpaka sasa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujinga ni kudharau waliofanikiwa,inaonekana umri wako na Utopolo kukosa kuingia makundi CC ni sawaNyie mlioingia makundi mmeshinda makombe mangapi mpaka sasa?
Endelea kujishikilia kabla sijakurudisha lupango mzeeNilipigwa BAN ya Siku 14 kwa Kumuambia / Kumuita Mru Mpumbavu ( Popoma ), ila Nakupongeza Mwenzangu kwa Kuniita Chizi kutoka Mirembe na wala hujala BAN na huenda hata ukawa Umewafurahisha na hao hao Watoa BAN Kwangu.
Na hapa wala hutoona Watu Wakijitokeza Kukulaumu au Kukuonya au hata Kukusema vibaya ila GENTAMYCINE nikikujibu tu kwa aina yangu utawana 'Visokolokwinyo' wa JamiiForums wanajitokeza Kunilaumu na muda mfupi tu BAN inanifuata.
Ngoja nijilazimishe kuwa Mvumilivu JF.
Hongera makolo fc kwa kuchukua ubingwa wa makundi CCUjinga ni kudharau waliofanikiwa,inaonekana umri wako na Utopolo kukosa kuingia makundi CC ni sawa
Hopeless.Endelea kujishikilia kabla sijakurudisha lupango mzee
Iseme kwa Kiswahili ili isound vizuri kwa ModsHopeless.
Mpuuzi.Iseme kwa Kiswahili ili isound vizuri kwa Mods
AsanteMpuuzi.
Hopeless.Asante
Ni vile watu wananisihi PM nisikirudishe jela dk hii ungekuwa UKONGAHopeless.
Sijawahi kuogopa BAN na Sitishiki nazo hata kidogo sawa?Ni vile watu wananisihi PM nisikirudishe jela dk hii ungekuwa UKONGA
Kombe la makundiNyie mlioingia makundi mmeshinda makombe mangapi mpaka sasa?
Nimekufolo ili kukuokoa.Nipo duniani kwa ajili ya kutoa elimu kwa watu kama wewe unayejifanya msomi kwenye hamnaSijawahi kuogopa BAN na Sitishiki nazo hata kidogo sawa?
Na ulivyo Mnafiki kila mara Unahubiri kutonipenda na Kunichukia hapa JamiiForums ila Juzi nimeona nawe Umenifolo na Kuniongezea idadi ya Followers wangu hapa JamiiForums.
Sasa nakuwaje mbaya Kwako halafu hapo hapo tena 'Unanifolo' GENTAMYCINE Mimi?
Na ndiyo maana nakuambia Wewe ni Mpuuzi ( Hopeless ) halafu unakimbilia kusema Nakutukana na kunitishia kunipa BAN ambayo sijui Mwendawazimu gani Kawadanganyeni kuwa nikiwa BANNED huwa Sili, Sistarehe, siingizi Kipato ( Fedha ) za Kuendeshea Maisha yangu na sipati Usingizi.
Unajisikiaje Kushoboka / Kujipendekeza Kumfolo Mtu ( GENTAMYCINE ) ambaye hakupendi na hata hana muda nawe kwakuwa huna unachomzidi kikiwemo Akili ambazo bahati mbaya huna?Nimekufolo ili kukuokoa.Nipo duniani kwa ajili ya kutoa elimu kwa watu kama wewe unayejifanya msomi kwenye hamna
Ndo nini umeandika hapa.Unajisikiaje Kushoboka / Kujipendekeza Kumfolo Mtu ( GENTAMYCINE ) ambaye hakupendi na hata hana muda nawe kwakuwa huna unachomzidi kikiwemo Akili ambazo bahati mbaya huna?
Nimeandika Mahsusi kwa asiye na Upeo ( wa mfano wako ) aweze kuwa nao sasaNdo nini umeandika hapa.
Weka akiba ya maneno. Uzuri au ubaya wa mchezaji unategemea mazingira ya timu.Sewakubwa ndio usajili aliosema bwana jaribu tena kuwa utasimamisha nchi🤣🤣 Waulize wamemsajili kwa bei gani wakikujibu nirudie, na bado mwingine Mkongo na yeye mmepewa bure kwa mkopo, kwa akili tu za kawaida akunatimu itakupa mchezaji wake mzuri kwa mkopo ukiona ivyo ujue hilo ni galasa wanatafuta namna ya kuachana nae kijanja asije kuwagharimu kwenye masuala ya kuvunja mikataba, Sasa timu inayojinasibu ni kubwa na inautaka ubingwa wa afrika ndio inakuwa dampo la wachezaji wa aina iyo inachekesha kweli, Yanga iliwagharimu kwa kambole, kisinda, bigirimana awawezi kurudia upuuzi huo ndio maana wanavunja mikataba ya wachezaji wanaowataka na kuwashusha jangwani, Uyo musonda ni mtu na nusu, bado beki la kati timu ya taifa ya Mali inayocheza CHAN kwa sasa na nahodha pia yuko njiani ndio maana ya timu inayotaka mafanikio na sio kuokota reject za bure alafu unataka utoboe ni ngumu labda ufanye kama unabet mchezo wa kubahatisha
Nitakufatilia kila jukwaa na sitasita kukuweka SEGEREA pale utakapongengeuka misingi na maadili ya watanzania.Nimeandika Mahsusi kwa asiye na Upeo ( wa mfano wako ) aweze kuwa nao sasa
Nut.Nitakufatilia kila jukwaa na sitasita kukuweka SEGEREA pale utakapongengeuka misingi na maadili ya watanzania.