Yanga SC na GSM Wanasajili, Simba SC na Mo Dewji wanafanya Mzaha

Endelea kujishikilia kabla sijakurudisha lupango mzee
 
Ni vile watu wananisihi PM nisikirudishe jela dk hii ungekuwa UKONGA
Sijawahi kuogopa BAN na Sitishiki nazo hata kidogo sawa?

Na ulivyo Mnafiki kila mara Unahubiri kutonipenda na Kunichukia hapa JamiiForums ila Juzi nimeona nawe Umenifolo na Kuniongezea idadi ya Followers wangu hapa JamiiForums.

Sasa nakuwaje mbaya Kwako halafu hapo hapo tena 'Unanifolo' GENTAMYCINE Mimi?

Na ndiyo maana nakuambia Wewe ni Mpuuzi ( Hopeless ) halafu unakimbilia kusema Nakutukana na kunitishia kunipa BAN ambayo sijui Mwendawazimu gani Kawadanganyeni kuwa nikiwa BANNED huwa Sili, Sistarehe, siingizi Kipato ( Fedha ) za Kuendeshea Maisha yangu na sipati Usingizi.
 
Nimekufolo ili kukuokoa.Nipo duniani kwa ajili ya kutoa elimu kwa watu kama wewe unayejifanya msomi kwenye hamna
 
Nimekufolo ili kukuokoa.Nipo duniani kwa ajili ya kutoa elimu kwa watu kama wewe unayejifanya msomi kwenye hamna
Unajisikiaje Kushoboka / Kujipendekeza Kumfolo Mtu ( GENTAMYCINE ) ambaye hakupendi na hata hana muda nawe kwakuwa huna unachomzidi kikiwemo Akili ambazo bahati mbaya huna?
 
Unajisikiaje Kushoboka / Kujipendekeza Kumfolo Mtu ( GENTAMYCINE ) ambaye hakupendi na hata hana muda nawe kwakuwa huna unachomzidi kikiwemo Akili ambazo bahati mbaya huna?
Ndo nini umeandika hapa.
 
Weka akiba ya maneno. Uzuri au ubaya wa mchezaji unategemea mazingira ya timu.
 
Nimeandika Mahsusi kwa asiye na Upeo ( wa mfano wako ) aweze kuwa nao sasa
Nitakufatilia kila jukwaa na sitasita kukuweka SEGEREA pale utakapongengeuka misingi na maadili ya watanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…