Yanga SC na Michuano ya CAFCL

Yanga SC na Michuano ya CAFCL

Mtaongea kila maneno lakini tatizo sio mbinu za kocha au wachezaji bali ni timu mnazo kutana nazo.
Kiufupi timu mnazo kutana nazo ni bora zaidi ya mlizo kutana nazo shirikisho.

Huyo Nabi unaye msema sijui mbuni zake zingesaidia amesha furushwa kwenye michuano hii kwenye hatua za awali ,tena akiwa na wachezaji wenye quality ya juu kuliko wa yanga.
Uzi ufungwe
 
Timu yako ya wastaafu imeshinda mechi ngapi kwenye kundi la vibonde? Tuanzie hapo kwanza kabla atujaenda kuijadili yanga iliyopo kwenye kundi la magiant mabingwa wa ligi zao!
Simba aliongoza kundi lenye magiant mabingwa wa ligi zao
 
Kama hajawahi kushinda kwenye makundi aliingiaje?
Mkiambiwa mna Fangasi kwenye Ubongo mnalalamika. Now the issue is Group Stage. Leta matokeo yoyote ya Ushindi aliowahi kupata Yanga kwenye Group Stage hapa. Ukifanya hivyo najitolea kuoa dada yako mmoja awazalie mtu mwenye akili huko Utopolo.
 
Mkiambiwa mna Fangasi kwenye Ubongo mnalalamika. Now the issue is Group Stage. Leta matokeo yoyote ya Ushindi aliowahi kupata Yanga kwenye Group Stage hapa. Ukifanya hivyo najitolea kuoa dada yako mmoja awazalie mtu mwenye akili huko Utopolo.
Waja mnamaneno🙊
 
Timu yako ya wastaafu imeshinda mechi ngapi kwenye kundi la vibonde? Tuanzie hapo kwanza kabla atujaenda kuijadili yanga iliyopo kwenye kundi la magiant mabingwa wa ligi zao!
Mkuu be positive!
Kwasasa Yanga n Bora, ni kweli au si kweli ?!

Simba katika ubora wake, ameifunga Ahly(kwa mkapa)-ambayo Yanga imeshindwa, Aliifunga As Vita(Ugenini) na aliongoza kundi mbele ya Ahly.
So far, hakuna timu yenye wazee, 1. Simba Sc inahitaji maboresho machache tu kuliko Yanga
2. Simba Ina Class ya hii Michuano, Ila Yanga Ina form nzuri tu
Hivo basi, ilipaswa Yanga watumie form yao, ili kuijenga Class na chata ya kudumu katika Michuano hii.

🙏🙏🙏
 
Mkuu be positive!
Kwasasa Yanga n Bora, ni kweli au si kweli ?!

Simba katika ubora wake, ameifunga Ahly(kwa mkapa)-ambayo Yanga imeshindwa, Aliifunga As Vita(Ugenini) na aliongoza kundi mbele ya Ahly.
So far, hakuna timu yenye wazee, 1. Simba Sc inahitaji maboresho machache tu kuliko Yanga
2. Simba Ina Class ya hii Michuano, Ila Yanga Ina form nzuri tu
Hivo basi, ilipaswa Yanga watumie form yao, ili kuijenga Class na chata ya kudumu katika Michuano hii.

🙏🙏🙏
Class ya iyo michuano aliyonayo Simba imewafikisha wapi?
Kwa maana Simba inahitaji maboresho machache na yanga inahitaji maboresho makubwa?
Unasema Simba alimfunga Aly ahly kwenye ubora wake Kwani yanga ajawai kumpasua uyo Aly ahly kwa mkapa?
 
Asalaam Aleykum(Amani iwe nanyi) Tanzania na Dunia kwa ujumla.

Leo naomba niwazungumzie wananchi, Dar Young Africans Wana jangwani

Nipende ku'declare interest' kwa mambo yafuatayo.

🙌 Mimi n mshabiki na mpenzi wa soka wa muda mrefu na siko mbali na maswala ya ukufunzi wa mpira wa mguu

🙌Yanga kwa sasa ndio timu Bora hapa Tanzania
a)Umoja - viungozi na mashabiki
b)Uongozi Bora, Eng. Hersi
c)Uwazi
d) Mafanikio nk

NINI HASA KINAWAKWAMISHA YANGA KUFANYA VIZURI CAFCL?

1. Kocha si Bora katika mbinu.
Mechi kama ya Leo dhidi ya Medeama FC angelikuwa Prof. Nabi angechukua point 3

2. Mashabiki wa timu ya Yanga SC, wamejitoa katika jukumu la kuikosoa timu, hasa katika Michuano ya CafCl, labda kwa sababu wameshafikia malengo.

3. Ukosefu wa baadhi ya wachezaji katika maeneo muhimu ya uwanja Kiungo(box2box), 9, Winger.

4. OverConfidence Kuanzia kwa bench la ufundi mpaka wachezaji, hivo inasababisha kukosekana kwa utulivu

USHAURI WANGU( Nanyi pia mtaongezea)
1. Kocha aboreshe mbinu, High pressing n nzuri lakini iwe yenye mipango.

2. Mashabiki wawe realistic, watimize wajibu wao wa kukosoa

3. Uongozi ufanye usajili wa Middle(Holding/Box2box), Winger, 9, 3

4. Wafanye marekebisho ya mikataba hasa wachezaji wa ndani, ili timu iendelee kuwa imara yapasa iwatunze wachezaji Bora ilio nao kama Diara, Aucho, Pacome nk

Yote kwa yote, asanteni kwa kushiriki, chukue point 3 kwa Medeama, point 1 kwa CR Beluzdad ili angalau mfikishe point Point 6.

Bilashaka itakuwa historia katika timu ya Yanga,

Karibuni kwa hoja, wadau
Hata Mungu mwenyewe anaweza kuthibitisha kwamba "yanga" wamejitahidi kadri walivyoweza lakini bahati nzuri haikuwa upande wao.
 
Timu yako ya wastaafu imeshinda mechi ngapi kwenye kundi la vibonde? Tuanzie hapo kwanza kabla atujaenda kuijadili yanga iliyopo kwenye kundi la magiant mabingwa wa ligi zao!
Hii siyo shirikisho,hakuna kulalamika umekutana na giant ndo maana ikaitwa club bingwa, ukipasuliwa unanyamaza na siyo excuses

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Class ya iyo michuano aliyonayo Simba imewafikisha wapi?
Kwa maana Simba inahitaji maboresho machache na yanga inahitaji maboresho makubwa?
Unasema Simba alimfunga Aly ahly kwenye ubora wake Kwani yanga ajawai kumpasua uyo Aly ahly kwa mkapa?
Najua
Yanga alikutana na Ahly 03.2014
Yanga 1-0 Ahly
AP Ahly 1-0 Yanga
Simba wana Class, kuonekana Simba n mbovu ndio kumeipaisha Yanga Ila kiuhalisia Simba sio mbovu kiasi hicho watu wanavyouzungumzia. Ila nakiri Yanga n bora
 
Asalaam Aleykum(Amani iwe nanyi) Tanzania na Dunia kwa ujumla.

Leo naomba niwazungumzie wananchi, Dar Young Africans Wana jangwani

Nipende ku'declare interest' kwa mambo yafuatayo.

🙌 Mimi n mshabiki na mpenzi wa soka wa muda mrefu na siko mbali na maswala ya ukufunzi wa mpira wa mguu

🙌Yanga kwa sasa ndio timu Bora hapa Tanzania
a)Umoja - viungozi na mashabiki
b)Uongozi Bora, Eng. Hersi
c)Uwazi
d) Mafanikio nk

NINI HASA KINAWAKWAMISHA YANGA KUFANYA VIZURI CAFCL?

1. Kocha si Bora katika mbinu.
Mechi kama ya Leo dhidi ya Medeama FC angelikuwa Prof. Nabi angechukua point 3

2. Mashabiki wa timu ya Yanga SC, wamejitoa katika jukumu la kuikosoa timu, hasa katika Michuano ya CafCl, labda kwa sababu wameshafikia malengo.

3. Ukosefu wa baadhi ya wachezaji katika maeneo muhimu ya uwanja Kiungo(box2box), 9, Winger.

4. OverConfidence Kuanzia kwa bench la ufundi mpaka wachezaji, hivo inasababisha kukosekana kwa utulivu

USHAURI WANGU( Nanyi pia mtaongezea)
1. Kocha aboreshe mbinu, High pressing n nzuri lakini iwe yenye mipango.

2. Mashabiki wawe realistic, watimize wajibu wao wa kukosoa

3. Uongozi ufanye usajili wa Middle(Holding/Box2box), Winger, 9, 3

4. Wafanye marekebisho ya mikataba hasa wachezaji wa ndani, ili timu iendelee kuwa imara yapasa iwatunze wachezaji Bora ilio nao kama Diara, Aucho, Pacome nk

Yote kwa yote, asanteni kwa kushiriki, chukue point 3 kwa Medeama, point 1 kwa CR Beluzdad ili angalau mfikishe point Point 6.

Bilashaka itakuwa historia katika timu ya Yanga,

Karibuni kwa hoja, wadau
Mfumo wa Nabi alikuwa anategemea zaidi Wingers wenye speed na striker mwenye speed.

Ikipigwa counter attacks,Kisinda anakimbiza au Moloko huku Kati Kuna Mayele wanafunga.

Ndio maana Morrison na Azizi Ki walitepeta wakati wa Nabi kwa kukosa pumzi.

Gamondi anategemea zaidi Wingers halafu mpaka sasa bado hakuna striker anayemwamini. Anabahatisha bahatisha tu.

Jana wametengeneza nafasi nyingi lakini wakifika kwenye box la mpinzani wanashindwa kufanya maamuzi.

Beki za Job, Mwamnyeto zina makosa mengi Kwasababu ya kukosa speed.

Na kibaya zaidi hatuna ufundi wa kupiga V PASI na zikipogwa V PASI ni hatari mnoo kwenye uzuiaji.
 
Mfumo wa Nabi alikuwa anategemea zaidi Wingers wenye speed na striker mwenye speed.

Ikipigwa counter attacks,Kisinda anakimbiza au Moloko huku Kati Kuna Mayele wanafunga.

Ndio maana Morrison na Azizi Ki walitepeta wakati wa Nabi kwa kukosa pumzi.

Gamondi anategemea zaidi Wingers halafu mpaka sasa bado hakuna striker anayemwamini. Anabahatisha bahatisha tu.

Jana wametengeneza nafasi nyingi lakini wakifika kwenye box la mpinzani wanashindwa kufanya maamuzi.

Beki za Job, Mwamnyeto zina makosa mengi Kwasababu ya kukosa speed.

Na kibaya zaidi hatuna ufundi wa kupiga V PASI na zikipogwa V PASI ni hatari mnoo kwenye uzuiaji.
Umeongea kitu, safi sana
 
Taratibu kila mtu ataanza kutambua jitihada za Simba Sc kufikia robo fainali ya hii michuano, ilifika mahala CAFCC inalazimishwa kuwa Champions League (CAFCL)

Utasikia "Tumecheza fainali ya kombe club bingwa Africa"
 
Baada ya mchezo wa leo, nilijiuliza kama kweli bado Yanga ina nafasi. Nimechambua scenarios kadhaa na kujiaminisha kuwa Yanga bado ina uwezo wa kwenda robo fainali iwapo itashinda michezo yote miwili ya nyumbani dhidi ya Medeama na CR Belouizdad, na kulazimisha sare ya ugenini dhidi ya Al Ahly. Matokeo hayo yataipa Yanga point 9 na kuweka ugumu sana kwa timu nyingine kufikisha idadi hiyo ya point.
View attachment 2837082
View attachment 2837083
Bouzdad yeye mechi zake za nyumbani atakuwa katulia tu akisubiri mshinde zenu ?
 
Mayele alikua ni Messi wa Yanga. Mayele alikua anaibeba yanga hata kwenye nyakati ngumu.... Yanga wakikwama Mayele alikua ndo mkombozi. Mayele alikua ni engine ya yanga.... Yanga wanakwama kwa sababu mayele hayupo.....
 
Kama hajawahi kushinda kwenye makundi aliingiaje?
Ukisikia champions league ujue inazungumziwa hatua ya makundi,kule hatua za mwanzo huwa hawazingatii ndio maana hata goal scorers wanaanza kuhesabiwa magoli yao hatua ya makundi,magoli ya preliminary stages hayahesabiwi
 
Class ya iyo michuano aliyonayo Simba imewafikisha wapi?
Kwa maana Simba inahitaji maboresho machache na yanga inahitaji maboresho makubwa?
Unasema Simba alimfunga Aly ahly kwenye ubora wake Kwani yanga ajawai kumpasua uyo Aly ahly kwa mkapa?
Yanga alimfunga Al Ahly kwa Mkapa kwenye hatua ipi wakati Yanga hajawahi kushinda mechi yoyote ya makundi klabu bingwa tangu kuanzishwa kwake?
 
Najua
Yanga alikutana na Ahly 03.2014
Yanga 1-0 Ahly
AP Ahly 1-0 Yanga
Simba wana Class, kuonekana Simba n mbovu ndio kumeipaisha Yanga Ila kiuhalisia Simba sio mbovu kiasi hicho watu wanavyouzungumzia. Ila nakiri Yanga n bora
Nikuweke sawa ilikuwa 2016 na sio 2014, alafu unatakiwa ukubali madhaifu yako ili uyarekebishe, ubora wa yanga aukujengwa kwa siku moja, ulijengwa kwa misimu 4 na msimu wa 5 wakajipata, uwekezaji na project yao ya muda mrefu ndio matunda wanayovuna kwa sasa, Simba yako ilijisahau ikawa inaendeshwa kwa propaganda wakati wenzao wanapiga hatua kivitendo na kwa malengo, ubovu wa Simba aukuja ghafra Bali ni process iliyoanza muda mrefu na hiki kinachoonekana kitawacost kwa misimu mingine 4 Kama amtakubali kuwa timu yenu Ina matatizo makubwa kuanzia kwenye uongozi mpaka chini kwa aina ya wachezaji mnaowasajili, benchikha atoweza kubadili kile kilichopo Kama amtokaa chini na kutafuta changamoto zenu mtabaki kusema yanga atashuka ili mpande na ashuki kwakuwa wameweka misingi imara ya kuwapeleka mbele na sio kurudi nyuma
 
Taratibu kila mtu ataanza kutambua jitihada za Simba Sc kufikia robo fainali ya hii michuano, ilifika mahala CAFCC inalazimishwa kuwa Champions League (CAFCL)

Utasikia "Tumecheza fainali ya kombe club bingwa Africa"
Simba wamecheza club bingwa ya Horoya na As Vita lakini mnabweka Kama kimburu.

Leo mko group la vibonde lakini zero kabisa.

Mnaponda shirikisho wakati hamna mafanikio yoyote kwenye shirikisho pamoja na kushiriki kwa kuroga kwenye VIWANJA vya watu. Mbumbumbu.
 
Simba wamecheza club bingwa ya Horoya na As Vita lakini mnabweka Kama kimburu.

Leo mko group la vibonde lakini zero kabisa.

Mnaponda shirikisho wakati hamna mafanikio yoyote kwenye shirikisho pamoja na kushiriki kwa kuroga kwenye VIWANJA vya watu. Mbumbumbu.
Unazidharau As Vita na Horoya zenye profile yq kutosha huku CAFCL, kisha unataka kuziheshimisha Madeama, Zalan, Marumo na wengineo wa aina hiyo?

Nadhani kwenye darasa la wajinga utaburuza mkia (kwa akili hizo hauwezi kuwa wa kwanza hata kwenye darasa la wajinga)
 
Unazidharau As Vita na Horoya zenye profile yq kutosha huku CAFCL, kisha unataka kuziheshimisha Madeama, Zalan, Marumo na wengineo wa aina hiyo?

Nadhani kwenye darasa la wajinga utaburuza mkia (kwa akili hizo hauwezi kuwa wa kwanza hata kwenye darasa la wajinga)
Wewe kiazi, tangu lini Zalan na Marumo wakacheza group stage??

Haya hao Simba wako wapi, na ukubwa wao. Mbona tumewagonga TANO.
 
Back
Top Bottom