wababayangu
JF-Expert Member
- Jul 17, 2021
- 814
- 1,107
Kumbe akina kabwili ni wengi kiasi hiki!!Kwanini team isideal tu na performance ya mchezaji kuliko kufous na vitu personal?
Mh!Sidhani kama yanga imewatimua hao wachezaji kutokana na perfomance yao uwanjani kuwa ndogo, nadhani itakua ni zile kashfa zilizo trend hapo katikati
Kigezo kingekuwa perfomance basi ningemuona Mayele kwenye list otherwise wawe na double standards
Taja huyo mchezaji wa simbaSimba na ushoga ni pipa na mfuniko, wala hamjaanza leo.View attachment 2037355
Samaki mmoja akioza.Kwanini team isideal tu na performance ya mchezaji kuliko kufous na vitu personal?
Simba ilikuwa timu ya waarabu ikose mapunga kivp Yan inawezekanajeSimba na ushoga ni pipa na mfuniko, wala hamjaanza leo.View attachment 2037355
Toto shatashata. Yanga kwa kufuga majunya tu hawajambo.Kuelekea usajili wa dirisha dogo, taarifa zinasema kuwa tayari Kamati ya Usajili ya Yanga imeanza kazi baada ya kuwafyeka wachezaji wanne kwa ajili ya kuwapisha nyota wapya watakaosajiliwa.
Wachezaji wanne wanaotajwa kuachana na Yanga kwenye dirisha dogo la usajili litakalofunguliwa Desemba 15, mwaka huu ni Adeyum Saleh, Ditram Nchimbi, Ramadhan Kabwili na Paul Godfrey ‘Boxer’.
Chanzo chetu kutoka Yanga, kimeliambia Spoti Xtra, kwamba: “Tayari kamati ya usajili imeanza kazi yake kwa ajili ya kuimarisha kikosi wakishirikiana na benchi la ufundi chini ya Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi.
“Kuna wachezaji ambao wataondolewa kwenye kikosi kutokana na kutokuwa na kiwango bora na wengine watatolewa kwa mkopo kuwapisha wachezaji watatu watakaosajiliwa.
“Wachezaji hao ni pamoja na Ditram Nchimbi, Ramadhan Kabwili ambao wote wawili hawapo kambini na wengine ni Adeyum Saleh pamoja na Paul Godfrey.”
Akizungumza na Spoti Xtra, Mwenyekiti wa Kamati ya Ufundi ya Yanga, Dominick Albinus, alisema: “Tumeanza kufanya kazi tayari na tupo kwenye hatua za mwisho kwa ajili ya kumalizana na baadhi ya wachezaji ambao tutawaongeza kikosini.
“Hatuna ugumu wowote kwetu kusajili kwani mchezaji yeyote tunayemuhitaji tutamsajili. Wapo wachezaji wawili ambao tunaendelea na mazungumzo nao ili kuwaongezea mikataba.
“Kuhusu suala la wachezaji ambao tutawatoa kwa mkopo bado hatujapewa mapendekezo na kocha ila kuna maeneo yapo kwa ajili ya kuongeza wachezaji, hawawezi kuzidi wawili au watatu.
“Wachezaji ambao tunawasajili kwa sasa hawawezi kuwa wale wa kupewa muda bali tunahitaji wale ambao wataleta faida kwenye timu kwa haraka kwa kuingia kikosini.”
View attachment 2037341
Du kumbe ni ntu na nkewe hao. Laana koum!!!Dah, sidhan kama Mukoko atasalia UTO kama watamtimua Sigara nyota Kabwili.
Ana paja lainiiiiii.Imekuwaje tena?View attachment 2037354
Fei Toto pia mumuonye. Nae wanamkabwilize sema hajakomaa sana katika tabia hiyo. Hii inapelekea wachezaji wetu kuchoka sana kipindi cha pili kwa sababu vitafunwa wanavyo kambini.Kuelekea usajili wa dirisha dogo, taarifa zinasema kuwa tayari Kamati ya Usajili ya Yanga imeanza kazi baada ya kuwafyeka wachezaji wanne kwa ajili ya kuwapisha nyota wapya watakaosajiliwa.
Wachezaji wanne wanaotajwa kuachana na Yanga kwenye dirisha dogo la usajili litakalofunguliwa Desemba 15, mwaka huu ni Adeyum Saleh, Ditram Nchimbi, Ramadhan Kabwili na Paul Godfrey ‘Boxer’.
Chanzo chetu kutoka Yanga, kimeliambia Spoti Xtra, kwamba: “Tayari kamati ya usajili imeanza kazi yake kwa ajili ya kuimarisha kikosi wakishirikiana na benchi la ufundi chini ya Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi.
“Kuna wachezaji ambao wataondolewa kwenye kikosi kutokana na kutokuwa na kiwango bora na wengine watatolewa kwa mkopo kuwapisha wachezaji watatu watakaosajiliwa.
“Wachezaji hao ni pamoja na Ditram Nchimbi, Ramadhan Kabwili ambao wote wawili hawapo kambini na wengine ni Adeyum Saleh pamoja na Paul Godfrey.”
Akizungumza na Spoti Xtra, Mwenyekiti wa Kamati ya Ufundi ya Yanga, Dominick Albinus, alisema: “Tumeanza kufanya kazi tayari na tupo kwenye hatua za mwisho kwa ajili ya kumalizana na baadhi ya wachezaji ambao tutawaongeza kikosini.
“Hatuna ugumu wowote kwetu kusajili kwani mchezaji yeyote tunayemuhitaji tutamsajili. Wapo wachezaji wawili ambao tunaendelea na mazungumzo nao ili kuwaongezea mikataba.
“Kuhusu suala la wachezaji ambao tutawatoa kwa mkopo bado hatujapewa mapendekezo na kocha ila kuna maeneo yapo kwa ajili ya kuongeza wachezaji, hawawezi kuzidi wawili au watatu.
“Wachezaji ambao tunawasajili kwa sasa hawawezi kuwa wale wa kupewa muda bali tunahitaji wale ambao wataleta faida kwenye timu kwa haraka kwa kuingia kikosini.”
View attachment 2037341
Fei Toto pia mumuonye. Nae wanamkabwilize sema hajakomaa sana katika tabia hiyo. Hii inapelekea wachezaji wetu kuchoka sana kipindi cha pili kwa sababu vitafunwa wanavyo kambini.
kwa hiyo Kabwili ni mke wa Mkoko?Dah, sidhan kama Mukoko atasalia UTO kama watamtimua Sigara nyota Kabwili.
simba anakula nyama tu hali ubwabwaKabwili anahitajika na Simba.
OnYwANokO bHE!Kabwili anahitajika na Simba.
Umemsahau Morrison ambaye alidhihirisha kwa kuvua Pichu uwanjani huku akicheza cheza mbele ya wanaume.Taarifa zilizopo wahoji wakina Mkude,Onyango,BokoFei Toto pia mumuonye. Nae wanamkabwilize sema hajakomaa sana katika tabia hiyo. Hii inapelekea wachezaji wetu kuchoka sana kipindi cha pili kwa sababu vitafunwa wanavyo kambini.