Yanga SC yafyeka wanne akiwemo Ramadhan Kabwili

Sidhani kama yanga imewatimua hao wachezaji kutokana na perfomance yao uwanjani kuwa ndogo, nadhani itakua ni zile kashfa zilizo trend hapo katikati

Kigezo kingekuwa perfomance basi ningemuona Mayele kwenye list otherwise wawe na double standards
Mh!
 
Toto shatashata. Yanga kwa kufuga majunya tu hawajambo.
Your browser is not able to display this video.


Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Fei Toto pia mumuonye. Nae wanamkabwilize sema hajakomaa sana katika tabia hiyo. Hii inapelekea wachezaji wetu kuchoka sana kipindi cha pili kwa sababu vitafunwa wanavyo kambini.
 
April 10, 1999 katika hotel waliyofikia Makolo pale Morogoro ..... baada ya mechi na Reli.....explore history
Fei Toto pia mumuonye. Nae wanamkabwilize sema hajakomaa sana katika tabia hiyo. Hii inapelekea wachezaji wetu kuchoka sana kipindi cha pili kwa sababu vitafunwa wanavyo kambini.
 
Fei Toto pia mumuonye. Nae wanamkabwilize sema hajakomaa sana katika tabia hiyo. Hii inapelekea wachezaji wetu kuchoka sana kipindi cha pili kwa sababu vitafunwa wanavyo kambini.
Umemsahau Morrison ambaye alidhihirisha kwa kuvua Pichu uwanjani huku akicheza cheza mbele ya wanaume.Taarifa zilizopo wahoji wakina Mkude,Onyango,Boko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…