Yanga SC yafyeka wanne akiwemo Ramadhan Kabwili

Yanga SC yafyeka wanne akiwemo Ramadhan Kabwili

Mkuu kabwili aliyasema wapi haya?
.
IMG-20211223-WA0003.jpg


Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Fei Toto pia mumuonye. Nae wanamkabwilize sema hajakomaa sana katika tabia hiyo. Hii inapelekea wachezaji wetu kuchoka sana kipindi cha pili kwa sababu vitafunwa wanavyo kambini.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom