Pongo Pongo
JF-Expert Member
- Jan 15, 2021
- 473
- 586
Pole sana mtaniSo disappointed...
Ni kama maamuzi ya kukurupuka hivi ukiwa na hasira, Kwa upande wangu naona "Benchi la ufundi" limeangushiwa jumba bovu, Kuna migogoro ndani ya uongozi wa juu kabisa na kwa baadhi ya wachezaji
Anyways ndio Yanga yetu acha ituue tu
Sent from my SM-J720F using JamiiForums mobile app