Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwingine huyuSenzo tunakupongeza kwa kazi nzuri ulioifanya. Maulid kitenge anamwona morrison anamsahau Senzo kazi anavyoitimiza huko Yanga
Kitenge kampigia debe yule Mrundi aliyekuwa Taifa Stars, hata jina silikumbuki.Nilisema Mimi jana achaneni na mambo ya Simba huko sudan mjikite kwenye mchezo na polisi mana si salama kwa afya zenu hamkusikia.
Haya bwana Kitenge nenda karipot sasa hizi habari huko kwenye page yako.
Utopolo Kama nyie eti mnataka kushindana na timu kubwa Kama Simba inayo ogopwa Africa nzima.
Kocha anakuja anawajazia warundi kibao utafikiri kikundi Cha Ntarahamwe na hao kina Sarpong wa bwana eng Heris sijui Gsm ovyo kabisaa.
Njooni Simba tuwape kina miraji waje kuwapa ushindi
Huo sio utafiti bali ilikuwa ubabaishaji. Haikuwa sahihi sana kufukuza kocha na bench lake ila kwa muda mrefu kuna kitu kinakosekana kwenye timu na hata ushindi unakuwa ni wa shida. Yanga ina malengo makubwa ambayo hawezi kupatikana kwa style hii. Simba bado hajawa na mafanikio ya kuigwa, hatua yenyewe ya makundi hajavuka kwa hiyo hii siyo sababu hata kidogo.Kwa utafiti mdogo nilioufanya, nilichogundua ni kwamba, Yanga wana tatizo moja la kisaikologia linaloitwa inferiority complex.
Wanafanya mambo kwa mihemko sana, na hii inatokana na ubora wa simba na matokeo mazuri wanayoyapata.
Alishindwa ku-detect mitego ya kurogwa na wapinzani😂Hadi afisa usalama? Kosa lake nini?
So disappointed...
Ni kama maamuzi ya kukurupuka hivi ukiwa na hasira, Kwa upande wangu naona "Benchi la ufundi" limeangushiwa jumba bovu, Kuna migogoro ndani ya uongozi wa juu kabisa na kwa baadhi ya wachezaji
Anyways ndio Yanga yetu acha ituue tu
Sent from my SM-J720F using JamiiForums mobile app
lllljpkl okllk pplkkkl Ilpll hilko lipllk Ikkk'll klkll 9oplollllllllllllljklklolo lol khkkkkll lplmlullkkplkllplj k jj lpkhjjjjgpjklklu lookdjokb jkllloljl I'lllhl know k kkl llkpppllllpplllppklTaarifa Rasmi Kutoka Yanga ni Kuwa wameamua Kuachana Na Kocha Wao Mkuu: Pamoja na Benchi Lote la Ufundi.
View attachment 1719639
Hongera kwa huyo aliyeushindilia huo mwiko maana umezama kisawasawaShida ni huo mwiko huko matakoni utatoka lini [emoji849].
Mna mambo nyie watu. Ama kweli Yanga..... Nyuma Mwiko😂😂😂😂Hongera kwa huyo aliyeushindilia huo mwiko maana umezama kisawasawa