Yanga SC yavunja benchi lake la ufundi na kuachana na Kocha Mkuu, Cedric Kaze

Yanga SC yavunja benchi lake la ufundi na kuachana na Kocha Mkuu, Cedric Kaze

Nilisema Mimi jana achaneni na mambo ya Simba huko sudan mjikite kwenye mchezo na polisi mana si salama kwa afya zenu hamkusikia.

Haya bwana Kitenge nenda karipot sasa hizi habari huko kwenye page yako.

Utopolo Kama nyie eti mnataka kushindana na timu kubwa Kama Simba inayo ogopwa Africa nzima.

Kocha anakuja anawajazia warundi kibao utafikiri kikundi Cha Ntarahamwe na hao kina Sarpong wa bwana eng Heris sijui Gsm ovyo kabisaa.

Njooni Simba tuwape kina miraji waje kuwapa ushindi
Kitenge kampigia debe yule Mrundi aliyekuwa Taifa Stars, hata jina silikumbuki.
 
Kwa utafiti mdogo nilioufanya, nilichogundua ni kwamba, Yanga wana tatizo moja la kisaikologia linaloitwa inferiority complex.

Wanafanya mambo kwa mihemko sana, na hii inatokana na ubora wa simba na matokeo mazuri wanayoyapata.
Huo sio utafiti bali ilikuwa ubabaishaji. Haikuwa sahihi sana kufukuza kocha na bench lake ila kwa muda mrefu kuna kitu kinakosekana kwenye timu na hata ushindi unakuwa ni wa shida. Yanga ina malengo makubwa ambayo hawezi kupatikana kwa style hii. Simba bado hajawa na mafanikio ya kuigwa, hatua yenyewe ya makundi hajavuka kwa hiyo hii siyo sababu hata kidogo.
 
Viongozi wa yanga jamani, kwanini hamjisimamii.

Uamuzi huu ni kukurupuka..
siamini kabisa kuwa viongozi hawajui uhalisia tatzo uamuzi unatolewa kwa kuhofia reaction ya mashabiki..mbona
george lwandamina alivumiliwa yanga kwa misimu mitatu.
 
Najiuliza Sana hawa VIONGOZI hv akija kocha mwingne naye atatimuliwa hvhv wasijifiche kwenye mgongo wa makocha n WAKATI WA WAO KUJITATHMINI WAWAACHIE WENGINE WAONGOZE watajicicha nyuma ya bench la ufund had lini


Msolwa ...hana impact

Mwakalebela... Hana lolote

Nugaz . .anawajaza mashabiki ujinga

Eng Hersi.. achunguzwe nahis anakula 10%
 
Utopolo itakaa sawa itapokaa chini na kuacha kushindana na Simba then ijenge team yake bila kuhangaika na ubora wa Simba.
 
Gsm anarudia makosa ya manji ambaye alifikiri kurudisha goli tano nikusajili mastaa wa Simba, yeye alifikiri senzo nsio siri ya mafanikio ya Simba wakati aenzo aliikuta simba kwenye mafanikio tayari na pia kuondoka kwake kumeifanya Simba kumpata CEO bora zaidi yake.
Anatakiwa akiona simba wana mchezaji mzuri.au mtendaji mzuri anatakiwa atafute wazuri zaidi ya waliopo Simba ila akienda kuchukua Simba wao watatafuta wazuri zaidi ya waliokuwepo
 
Uyu mwanamuzi atafutwe kwa maslahi mapana ya Simba.
Tatufaa sana kwenye team ya hamasa.
 
pkovoojj lol l jpu l sj0polk gokjl I'llk
So disappointed...

Ni kama maamuzi ya kukurupuka hivi ukiwa na hasira, Kwa upande wangu naona "Benchi la ufundi" limeangushiwa jumba bovu, Kuna migogoro ndani ya uongozi wa juu kabisa na kwa baadhi ya wachezaji

Anyways ndio Yanga yetu acha ituue tu

Sent from my SM-J720F using JamiiForums mobile app
Taarifa Rasmi Kutoka Yanga ni Kuwa wameamua Kuachana Na Kocha Wao Mkuu: Pamoja na Benchi Lote la Ufundi.

View attachment 1719639
lllljpkl okllk pplkkkl Ilpll hilko lipllk Ikkk'll klkll 9oplollllllllllllljklklolo lol khkkkkll lplmlullkkplkllplj k jj lpkhjjjjgpjklklu lookdjokb jkllloljl I'lllhl know k kkl llkpppllllpplllppkl
 
Back
Top Bottom