Yanga SC yavunja benchi lake la ufundi na kuachana na Kocha Mkuu, Cedric Kaze

Pole sana mtani
 
Ubabaishaji tu huu, vipi kuhusu uongozi Wa timu unafaa kuendelea kuwepo!?
 
Kwangu mimi sidhani kama tatizo la Yanya ni Kocha...
Kwa mtazamo wangu wanalizunguka tatizo, kikosi walichonacho sio Bora, ndio maana kila siku wanapata sababu mpya.
Mwanzo ilikua marefa sasa ni benchi la fundi, ngoja tusubiri lawama zingine zitamwendea Nani.
 
Kaze aondoke na watoto wa dada yake asiwaache.. SAIDO, FISTON.
 
Goli lenyewe lilofukuza benchi hili hapa.
 

Attachments

  • 157224227_120018326733006_7436983860762188926_n.mp4
    3.5 MB
Timu inaongoza ligi mnafukuza kocha. Nyie mbona mnatuchanganya mashabiki wa Simba?

Mi nahisi bado mnamtaka Morisson
 
Kazi ya kocha ni nini na hawa wachezaji unadhani kawapendekeza nani kusajiliwa Yanga, kama siyo kaze
 
Uto kila mwaka wakiona ligi inakaribia kwisha wanafukuza kocha ili viongozi wawe huru kusajili wachezaji wanaowataka, wakimaliza kusajili ndio wanaleta kocha, kocha akija anakuta wachezaji wapya kibao anakabidhiwa awafundishe. Mpira hauendi hivyo

Mwenyekiti wenu Msolwa ni kocha kwa hiyo atatwaa mikoba ya Kaze, Mwakalebela na kitambi lake atamsaidia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…