Yanga sio mabingwa wa kihistoria (Simba yupo 22 na Yanga pia)

Mkuu hizi takwimu zako zina ukakasi yaani Mainland League alafu kuna KMKM na Malindi Pia hio Pamba ya Shinyanga ni ya wapi na kama ni ya Mwanza Uzee wangu huu haunikumbushi kama ilichukua Taji la Tanzania Bara labda Kombe linalojumuisha Bara na Visiwani ambalo walilichukua Mwaka unaofuata baada ya kufungwa na Malindi kwa Penalti kwa shutuma za kwamba Juma Muhima alikula Mlungula kusababisha Penalty
 
Hizi takwimu ni za kubumba.

99 na 2000 alichukua mtibwa.

1986 alichukua Tukuyu stars.

Rudi class ukatunge data mpya.

Yanga ndio bingwa mara nyingi wa hili taifa tukufu, amechukua 27 titles of PL.
 
2000 bingwa alikuwa Mtibwa au huo mchongo uliusimamia ww.
Mzee mimi siongei kwa maneno naongea na record. Sasa leta data zako zangu hizi hapa
 
Hizi takwimu ni za kubumba.

99 na 2000 alichukua mtibwa.

1986 alichukua Tukuyu stars.

Rudi class ukatunge data mpya.

Yanga ndio bingwa mara nyingi wa hili taifa tukufu, amechukua 27 titles of PL.
Ukileta orodha ya hicho unachokisema itakuwa bomba zaidi ya hapo ni kelele tu.
Soma hapa uone
 
Mbona nishaleta, wewe si bado unakomaa na mchongo wako ulio usimamaia 2000 mpaka Yanga akachukua ubingwa.Halafu source yako Wikipedia ambayo hata mimi naweza kuedit.
 
Mbona nishaleta, wewe si bado unakomaa na mchongo wako ulio usimamaia 2000 mpaka Yanga akachukua ubingwa.Halafu source yako Wikipedia ambayo hata mimi naweza kuedit.
Mzee mimi nakuletea source za kila aina au unadhani mimi ni ndezi kama wewe.
Hii hapa league yote ya 2000

 
Mkuu vitu vingine utumiege na akili zako sio kuokoteza tu source halafu hata kushirikisha ubongo wako hakuna. KMKM wanaingia vipi kwenye makombe ya ligi kuu ya Tanzania bara?
 
Mkuu vitu vingine utumiege na akili zako sio kuokoteza tu source halafu hata kushirikisha ubongo wako hakuna. KMKM wanaingia vipi kwenye makombe ya ligi kuu ya Tanzania bara?
Kama hujui historia ya league bora ukae kimya pasipo kuonesha upumbavu wako hapa. Ni bora utulie ujifunze Tanzania iketoka wapi siyo kukurupuka tu na usichokijua. Wewe umezaliwa 1990s utajulia wapi hata.
 
Mzee mimi nakuletea source za kila aina au unadhani mimi ni ndezi kama wewe.
Hii hapa league yote ya 2000

Source za kila aina ila sio valid sasa zina maana gani,tunza thread yako kabla ya mechi ya Simba na Yanga round ya pili nitalitafuta gazeti la Mwanaspoti au Champions niltalipiga picha then nitapost humu JF.

Ila nina uhakika Yanga kachukua 27.
 
Source za kila aina ila sio valid sasa zina maana gani,tunza thread yako kabla ya mechi ya Simba na Yanga round ya pili nitalitafuta gazeti la Mwanaspoti au Champions niltalipiga picha then nitapost humu JF.

Ila nina uhakika Yanga kachukua 27.
Nimekuambia leta orodha yako hapa. Hiyo mwaka 2000 nimekuletea mpaka mechi zilizochezwa bado unang'ang'ana tu.

Mzee wadanganye utopolo wenzako.
 
Source za kila aina ila sio valid sasa zina maana gani,tunza thread yako kabla ya mechi ya Simba na Yanga round ya pili nitalitafuta gazeti la Mwanaspoti au Champions niltalipiga picha then nitapost humu JF.

Ila nina uhakika Yanga kachukua 27.
Kwenye orodha yako umeweka yanga kachukua ubingwa 1985, 1989 umeweka takwimu ya uongo. Nyie yanga waongo.
Tayari 1992,1993, 1985 1989 ni takwimu za uongo. Yanga hawakushinda miaka hiyo.
 
Nimekuambia leta orodha yako hapa. Hiyo mwaka 2000 nimekuletea mpaka mechi zilizochezwa bado unang'ang'ana tu.

Mzee wadanganye utopolo wenzako.
Mbona nimekuletea tena nimekutag mara mbili au unataka orodha mpya ya baraza ya mawaziri manake mpira ushakushindwa na rekodi zako zakuokota.
 
Kwenye orodha yako umeweka yanga kachukua ubingwa 1985, 1989 umeweka takwimu ya uongo. Nyie yanga waongo.
Tayari 1992,1993, 1985 1989 ni takwimu za uongo. Yanga hawakushinda miaka hiyo.
Ila Yanga kuchukua ubingwa 2000 ni takwimu ya ukweli, wewe mwenyewe hajielewi.
 
Mbona nimekuletea tena nimekutag mara mbili au unataka orodha mpya ya baraza ya mawaziri manake mpira ushakushindwa na rekodi zako zakuokota.
Mzee ni thread gani na comment no gapi!?
 
Ila Yanga kuchukua ubingwa 2000 ni takwimu ya ukweli, wewe mwenyewe hajielewi.
Orodha ya uongo huu ya ushindi wa yanga kujumuisha miaka ya
1985 1989,1992,1993 na 1998. Humo umechomeka mzee hamkuchukua kombe miaka hiyo labda kombe la kahawa.
 
Mzee ni thread gani na comment no gapi!?
50
ILI UZIONE VIZURI ANGALIA HAPA

1965 Sunderland (Simba SC)

1966 Sunderland

1967 Cosmopolitan

1968 Young Africans

1969 Young Africans

1970 Young Africans

1971 Young Africans

1972 Young Africans

1973 Simba SC

1974 Young Africans

1975 Mseto SC

1976 Simba SC

1977 Simba SC

1978 Simba SC

1979 Simba SC

1980 Simba SC

1981 Young Africans

1982 Pan Africans

1983 Young Africans

1984 Simba SC

1985 Young Africans

1986 Tukuyu Stars

1987 Young Africans

1988 Coastal Union

1989 Young Africans

1990 Simba SC

1991 Young Africans

1992 Young Africans

1993 Young Africans

1994 Simba SC

1995 Simba SC

1996 Young Africans

1997 Young Africans

1998 Young Africans

1999 Mtibwa Sugar

2000 Mtibwa Sugar

2001 Simba SC

2002 Young Africans Sc

2003 Simba SC

2004 Simba SC

2005 Young Africans Sc

2006 Young Africans Sc

2007 Simba SC

2007/08 Young Africans Sc

2008/09 Young Africans Sc

2009/2010 Simba SC

2010/2011 Young Africans

2011/2012 Simba SC

2012/2013 Young Africans

2013/2014 Azam

2014/2015 Young Africans

2015/ 2016 Young Africans

2016/ 2017 Young Africans

2017/ 2018 Simba

2018-19 Simba

2019-20 Simba

2020-21 Simba
21-22 ???
 
Kama hujui historia ya league bora ukae kimya pasipo kuonesha upumbavu wako hapa. Ni bora utulie ujifunze Tanzania iketoka wapi siyo kukurupuka tu na usichokijua. Wewe umezaliwa 1990s utajulia wapi hata.
Sawa nimezaliwa 2000 kabisa. Wewe uliyezaliwa miaka hiyo nipe historia ya ligi kuu ya Tanzania ilikuwaje. Mimi nimekubali uwe mwalimu wangu haya niambie KMKM anaingia vipi kwenye ligi kuu ya Tanzania bara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…