Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
- Thread starter
-
- #121
Ninakuzidi elimu ya kila aina. Ninakuzidi upeo wa kujua mambo ya dunia inavyoendelea. Kwa namna unavyoandika umri wako ni kati ya 22-32. Huwezi kuzidi hapo.Unanizidi kielimu how? Kama sources unayo itegemea ni wiki basi hata elimu yako ina walakini.
Elimu ya kila aina,zipi hizo?.. ,yaani ww unifundishe mimi na source yako Wikipedia, labda uwakusanye makinda wako hapo home kwako unao walisha ugali uwadanganye na hizo Wikipedia zako.Ninakuzidi elimu ya kila aina. Ninakuzidi upeo wa kujua mambo ya dunia inavyoendelea. Kwa namna unavyoandika umri wako ni kati ya 22-32. Huwezi kuzidi hapo.
At least, appreciate kile nilichokufundisha kuhusu Wikipedia. Usishupaze shingo.
Wewe ni kijana wangu nitakuelimisha taratibu. Na hupaswi kukasirika maana ujinga siyo tusi. Ulikuwa mjinga kwa sasa umeelevuka. Hongera zako.
Mzee nilikuwa nakufundisha kuhusu Wikipedia. Halafu fuatilia comments zangu zote onesha ipi nimeweka source ya Wikipedia.Elimu ya kila aina,zipi hizo?.. ,yaani ww unifundishe mimi na source yako Wikipedia, labda uwakusanye makinda wako hapo home kwako unao walisha ugali uwadanganye na hizo Wikipedia zako.
Duu kwao unazikataa.....?Mzee nilikuwa nakufundisha kuhusu Wikipedia. Halafu fuatilia comments zangu zote onesha ipi nimeweka source ya Wikipedia.
Unatakiwa uwe na upeo wa kujua vitu kijana. Ukifundishwa kitu kubali kufundishika.
Back to topic. Leta hiyo evidence yako ya yanga kuchukua ubingwa 27.
Kwani hii link ni jamii ya nini kama sio wikipedia au labda mtoto alichezea simu.Mzee nilikuwa nakufundisha kuhusu Wikipedia. Halafu fuatilia comments zangu zote onesha ipi nimeweka source ya Wikipedia.
Unatakiwa uwe na upeo wa kujua vitu kijana. Ukifundishwa kitu kubali kufundishika.
Back to topic. Leta hiyo evidence yako ya yanga kuchukua ubingwa 27.
Turudi kwenye mada mzee. Nilikua nakufundisha kuhusu Wikipedia tu. Kama kuna post nimeweka niki refer Wikipedia iweke hapa.Duu kwao unazikataa.....?
Turudi kwenye mada mzee. Nilikua nakufundisha kuhusu Wikipedia tu. Kama kuna post nimeweka niki refer Wikipedia iweke hapa.
By the way nimekutaka urudi kwenye mada. Leta reference inayoaminika kuonesha yanga ilichukia mara 27.
Mbona unaleta upumbavu sasa. Hiyo link ni Wikipedia!? Ndio maana nimekutaka uende shule. Link niliyotupia hii hapa:-Kwani hii link ni jamii ya nini kama sio wikipedia au labda mtoto alichezea simu.
View attachment 2082914
Jamii stupid boy hiyo ni websites ya Football Wiki.View attachment 2082915kwani hii nini si jamii za Wikipedia......
Wewe ndiye mpumbavu hebu angalia hiyo site yakoMbona unaleta upumbavu sasa. Hiyo link ni Wikipedia!? Ndio maana nimekutaka uende shule. Link niliyotupia hii hapa:-
Tanzanian Premier League
Tanzanian Premier League is the top division of the Football Association of Tanzania, it was created in 1965. The competition was simply known as national league and later First Division Soccer League until the name Premier league was adopted in 1997. Today the league consists of 12 teams...football.fandom.com
Football WIKI, WIKI pedia zote ni zile zile wote asili yao ni WIKI.Jamii stupid boy hiyo ni websites ya Football Wiki.
Jaribu kidogo kuwa na elimu kuhusu internet kijana wangu. Also ficha upumbavu wako kwenye public.
Ndio maana nimekueleza wewe bado ni ujinga huelewi elimu ya mitandao. Hapa unaongea na gwiji wa internet.Wewe ndiye mpumbavu hebu angalia hiyo site yako
View attachment 2082917
Ina tofauti gani na wikipedia, yaani hapo sawasawa useme, Saidi Juma Mbonde na Kasim Juma Bonde baba yao tofauti wakati wote watoto wa mzee Mbonde.
Wikileaks unaujua mtandao huo!?Football WIKI, WIKI pedia zote ni zile zile wote asili yao ni WIKI.
Hapa nakupiga doze na kukufundisha. We bado ndama sana kwangu.Wewe ndiye mpumbavu hebu angalia hiyo site yako
View attachment 2082917
Ina tofauti gani na wikipedia, yaani hapo sawasawa useme, Saidi Juma Mbonde na Kasim Juma Bonde baba yao tofauti wakati wote watoto wa mzee Mbonde.
sawa mthomi unayetumia wiki sites kama reliable resources.Hapa nakupiga doze na kukufundisha. We bado ndama sana kwangu.
Unajua maana ya web directory!?
Hii source yako inamakosa mengi sana inakosa credibility Mtibwa kachukua back to back miaka ya 2000 hayupo hapo , Pamba inaoneka ni ya Shinyanga kwa hizo errors nashawishika kusema hii source inapotoshaLeo nimejaribu kufuatilia documents kila kona nimekuja kupata taarifa kuwa yanga yupo na makombe 22 ya ligi huku simba hapo awali alijulikana Sunderland naye yupo na makombe 22 ya ligi. Nashindwa kuelewa yanga anajiita bingwa wa kihistoria kwa kigezo kipi!?
RECORD HII HAPA
Dar es Salaam League
1944- Sunderland (Dar es Salaam)
1945 not known
1946 - Sunderland (Dar es Salaam)
1947-63 not known
1964 - Cosmopolitans (Dar es Salaam)
national (mainland) league
1965 - Sunderland (Dar es Salaam)
1966 - Sunderland (Dar es Salaam)
1967 - Cosmopolitans (Dar es Salaam)
1968 - Young Africans (Dar es Salaam)
1969 - Young Africans (Dar es Salaam)
1970 - Young Africans (Dar es Salaam)
1971 - Young Africans (Dar es Salaam)
1972 - Young Africans (Dar es Salaam)
1973 - Simba (Dar es Salaam)
1974 - Young Africans (Dar es Salaam)
1975 - Mseto Sports (Morogoro)
1976 - Simba (Dar es Salaam)
1977 - Simba (Dar es Salaam)
1978 - Simba (Dar es Salaam)
1979 - Simba (Dar es Salaam)
1980 - Simba (Dar es Salaam)
1981 - Young Africans (Dar es Salaam)
1982 - Pan African (Dar es Salaam)
1983 - Young Africans (Dar es Salaam)
1984 - KMKM (Zanzibar)
1985 - Tukuyu Stars(Rungwe)
1986 - Maji Maji (Songea)
1987 - Young Africans (Dar es Salaam)
1988 - African Sports (Tanga)
1989 - Malindi
1990 - Pamba (Shinyanga)
1991 - Young Africans (Dar es Salaam)
1992 - Malindi
1993 - Simba (Dar es Salaam)
1994 - Simba (Dar es Salaam)
1995 - Simba (Dar es Salaam)
1996 - Young Africans (Dar es Salaam)
1997 - Young Africans (Dar es Salaam)
1998 - Maji Maji (Songea)
1999 - Prisons (Mbeya)
2000 - Young Africans (Dar es Salaam)
2001 - Simba (Dar es Salaam)
2002 - Simba (Dar es Salaam)
2003 - not awarded (*)
Tanzania Mainland (Tanzania Bara)
2004 - Simba (Dar es Salaam)
2005 - Young Africans (Dar es Salaam)
2006 - Young Africans (Dar es Salaam)
2007 - Simba (Dar es Salaam) [mini-league]
2008 - Young Africans (Dar es Salaam)
2009 - Young Africans (Dar es Salaam)
2010 - Simba (Dar es Salaam)
2011 - Young Africans (Dar es Salaam)
2012 - Simba (Dar es Salaam)
2013 - Young Africans (Dar es Salaam)
2014 - Azam FC (Dar es Salaam)
2015 - Young Africans (Dar es Salaam)
2016 - Young Africans (Dar es Salaam)
2017 - Young Africans (Dar es Salaam)
2018 - Simba (Dar es Salaam)
2019 - Simba (Dar es Salaam)
2020 - Simba (Dar es Salaam)
2021 - Simba (Dar es Salaam)
2022 -
Wewe jamaa ni mbishi harafu huna unalo jua mwaka 2000 bingwa alikua Mtibwa huo mchongo unao sema ni upiMwaka 2000 nimewapatia yanga huo ulikuwa ushindi wa mchongo ushindi wa TFF walipewa yanga na TFF.
Jamii stupid boy hiyo ni websites ya Football Wiki.
Jaribu kidogo kuwa na elimu kuhusu internet kijana wangu. Also ficha upumbavu wako kwenye public.